Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana mwenye majina tisa

Je, ushawahi kuskia ama kukutana na mtu yeyote ambaye ana majina tisa?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kijana mwenye HIV atahadharisha wenzake

Luke Alexander mwenye umri wa miaka 19 anayeishi London anatumia mitandao ya kijamii kuwatahadharisha vijana wenzake dhidi ya ugonjwa wa ukimwi

 

10 years ago

Mwananchi

Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa

Ubunifu ni kufanya jambo kwa namna tofauti na jinsi lilivyozoeleka, hivyo mtu akifanya jambo hilo linalofanana na uundaji wa kitu kinacholeta maana, mtu huyo ataitwa mbunifu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya

Familia ya kijana mwenye umri wa miaka minne aliyepigwa risasi na polisi huko Mombasa inasema amekatwa mguu

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO

Moshi,Kilimanjaro,
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu

Na Yericko Nyerere
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani