Kijana mwenye majina tisa
Je, ushawahi kuskia ama kukutana na mtu yeyote ambaye ana majina tisa?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili21 May
Kijana mwenye HIV atahadharisha wenzake
Luke Alexander mwenye umri wa miaka 19 anayeishi London anatumia mitandao ya kijamii kuwatahadharisha vijana wenzake dhidi ya ugonjwa wa ukimwi
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa
Ubunifu ni kufanya jambo kwa namna tofauti na jinsi lilivyozoeleka, hivyo mtu akifanya jambo hilo linalofanana na uundaji wa kitu kinacholeta maana, mtu huyo ataitwa mbunifu.
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya
Familia ya kijana mwenye umri wa miaka minne aliyepigwa risasi na polisi huko Mombasa inasema amekatwa mguu
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania