Kijana mwenye HIV atahadharisha wenzake
Luke Alexander mwenye umri wa miaka 19 anayeishi London anatumia mitandao ya kijamii kuwatahadharisha vijana wenzake dhidi ya ugonjwa wa ukimwi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Kijana anayewafunza wenzake teknolojia
BBC Swahili inaangazia swala kuu la elimu ya juu, huku vyuo vikuu vikishindwa kuhudumia idadi kubwa ya wanafunzi wanaofuzu
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
11 years ago
BBCSwahili19 May
Muuguzi mwenye HIV afungwa jela Uganda
Mahakama imempata na hatia muuguzi mwenye virusi vya HIV, aliyeshitakiwa kumdunga mtoto mchanga sindano kwa lengo la kumuambukiza mtoto huyo HIV
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Kijana mwenye miaka 4 akatwa mguu Kenya
Familia ya kijana mwenye umri wa miaka minne aliyepigwa risasi na polisi huko Mombasa inasema amekatwa mguu
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa
Ubunifu ni kufanya jambo kwa namna tofauti na jinsi lilivyozoeleka, hivyo mtu akifanya jambo hilo linalofanana na uundaji wa kitu kinacholeta maana, mtu huyo ataitwa mbunifu.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s72-c/Daudi%2BMrindoko.jpg)
KIJANA DAUDI MRINDOKO MGOMBEA MWENYE UMRI MDOGO ZAIDI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ltoysVEJOA/VViriN76QBI/AAAAAAADnLM/d2kfzcud0xE/s640/Daudi%2BMrindoko.jpg)
Wakati tunahesabu miezi kuelekea uchaguzi mkuu 2015,mengi ya kufurahisha yanahibuka kama vile wananchi wa jimbo la Moshi Mjini kumshawishi mgombea waokijana Daudi Babu Mrindoko achukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo 2015,na kumiminia sifa zote zinazofaa kijana huyo wa mjini Moshi achaguliwe.wakazi hao wa jimbo la Moshi Mjini kwa sasa wanadai kuwa kijana wao waliomshawishi achukue fomu ndiye Mgombea kijana mwenye umri mdogo kuliko wengine wote wenye nia ya kugombea...
5 years ago
Hiptoro09 Mar
Cure for HIV/AIDS: Monthly Antiretrovirals Injection can now Treat HIV...
Cure for HIV/AIDS: Monthly Antiretrovirals Injection can now Treat HIV... Hiptoro
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mfanyabiashara atahadharisha Polisi
JESHI la Polisi nchini limetakiwa kuacha kuvifananisha vikundi vya uhalifu na makundi ya kigaidi kama vile Al Sbabab, El Quaeda na Boko Haram, kwani kwa kufanya hivyo kunaweza kuvuruga uchumi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania