Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuguzi mwenye HIV afungwa jela Uganda

Mahakama imempata na hatia muuguzi mwenye virusi vya HIV, aliyeshitakiwa kumdunga mtoto mchanga sindano kwa lengo la kumuambukiza mtoto huyo HIV

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Yaya wa Uganda afungwa jela

Yaya wa Uganda aliyjeipata pabaya kwa kumchapa mtoto wa mwajiri wake, amehukumiwa jela miaka minne kwa kosa la kumtesa mtoto.

 

10 years ago

Bongo5

Mfanyakazi wa ndani ya Uganda afungwa miaka minne jela

Mahakama nchini Uganda imetoa hukumu ya miaka minne jela kwa mfanyakazi wa ndani, Jolly Tumuhiirwe, aliyepatikana na hatia ya kumtesa na kumpiga motto wa miezi 18. Tumuhiirwe, 22, alionekana kwenye video iliyosambaa mtandaoni akimpiga bila huruma mtoto huyo aitwaye Aneela. Msichana huyo aliwaomba radhi wazazi wa mtoto huyo na umma kwa ujumla na kudai kuwa […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyewaambukiza 200 na HIV afungwa miaka 25

Daktari bandia aliyewaambukiza watu takriban 200 virusi vya ukimwi nchini Cambodia amehukumiwa jela miaka 25.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha,Costa Concordia afungwa jela

Nahodha wa meli ya Costa Concordia iliyosababisha vifo vya watu watu 32 wakiwemo wafanyakazi wa meli hiyo amehukumiwa kwenda jela.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyetongoza kupitia Facebook afungwa jela

Mwanaume aliyetongoza mwanafunzi mwenza kupitia Facebook kwa nia ya kushiriki ngono naye amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela

 

9 years ago

BBCSwahili

Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda

Mahakama Kuu nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha maisha jela mhubiri aliyehusika katika mauaji ya kimbari ya 1994.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto wa Rais Banda afungwa jela

Mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Andrew Banda amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kutiwa hatiani katika makosa ya kuhusika na rushwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwingereza Jermaine Grant afungwa jela Kenya

Mwanamume mmoja raia wa Uingereza, anayetuhumiwa kupanga mashambulio ya kigaidi, amefungwa jela miaka tisa na mahakama mjini Mombasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani