Muuguzi mwenye HIV afungwa jela Uganda
Mahakama imempata na hatia muuguzi mwenye virusi vya HIV, aliyeshitakiwa kumdunga mtoto mchanga sindano kwa lengo la kumuambukiza mtoto huyo HIV
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Yaya wa Uganda afungwa jela
Yaya wa Uganda aliyjeipata pabaya kwa kumchapa mtoto wa mwajiri wake, amehukumiwa jela miaka minne kwa kosa la kumtesa mtoto.
10 years ago
Bongo515 Dec
Mfanyakazi wa ndani ya Uganda afungwa miaka minne jela
Mahakama nchini Uganda imetoa hukumu ya miaka minne jela kwa mfanyakazi wa ndani, Jolly Tumuhiirwe, aliyepatikana na hatia ya kumtesa na kumpiga motto wa miezi 18. Tumuhiirwe, 22, alionekana kwenye video iliyosambaa mtandaoni akimpiga bila huruma mtoto huyo aitwaye Aneela. Msichana huyo aliwaomba radhi wazazi wa mtoto huyo na umma kwa ujumla na kudai kuwa […]
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Aliyewaambukiza 200 na HIV afungwa miaka 25
Daktari bandia aliyewaambukiza watu takriban 200 virusi vya ukimwi nchini Cambodia amehukumiwa jela miaka 25.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Nahodha,Costa Concordia afungwa jela
Nahodha wa meli ya Costa Concordia iliyosababisha vifo vya watu watu 32 wakiwemo wafanyakazi wa meli hiyo amehukumiwa kwenda jela.
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Aliyetongoza kupitia Facebook afungwa jela
Mwanaume aliyetongoza mwanafunzi mwenza kupitia Facebook kwa nia ya kushiriki ngono naye amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda
Mahakama Kuu nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha maisha jela mhubiri aliyehusika katika mauaji ya kimbari ya 1994.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mtoto wa Rais Banda afungwa jela
Mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Andrew Banda amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kutiwa hatiani katika makosa ya kuhusika na rushwa.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mwingereza Jermaine Grant afungwa jela Kenya
Mwanamume mmoja raia wa Uingereza, anayetuhumiwa kupanga mashambulio ya kigaidi, amefungwa jela miaka tisa na mahakama mjini Mombasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania