Aliyetongoza kupitia Facebook afungwa jela
Mwanaume aliyetongoza mwanafunzi mwenza kupitia Facebook kwa nia ya kushiriki ngono naye amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Yaya wa Uganda afungwa jela
Yaya wa Uganda aliyjeipata pabaya kwa kumchapa mtoto wa mwajiri wake, amehukumiwa jela miaka minne kwa kosa la kumtesa mtoto.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mtoto wa Rais Banda afungwa jela
Mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Andrew Banda amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, baada ya kutiwa hatiani katika makosa ya kuhusika na rushwa.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mhubiri afungwa jela maisha Rwanda
Mahakama Kuu nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha maisha jela mhubiri aliyehusika katika mauaji ya kimbari ya 1994.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Nahodha,Costa Concordia afungwa jela
Nahodha wa meli ya Costa Concordia iliyosababisha vifo vya watu watu 32 wakiwemo wafanyakazi wa meli hiyo amehukumiwa kwenda jela.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhNM1Otru2c/VYP5Q0vgH-I/AAAAAAAAH-8/yOJm6PDZnuE/s72-c/Masanja%2BMwinamila%2Bsiku%2Balipokamatwa.jpg)
ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10
Na Daniel Mbega, Nzega
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Nzega leo hii imemhukumu Masanja Mwinamila (44), mkazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala, Tarafa ya Puge wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kuteka mtoto mwenye albinism, Margreth Hamisi (6).Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saraphine Nsana, alitoa hukumu hiyo baada ya mshtakiwa kusomewa shtaka na kukiri kutenda kosa hilo.
Ilielezwa mahakamani hapo kwamba,...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Nzega leo hii imemhukumu Masanja Mwinamila (44), mkazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala, Tarafa ya Puge wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora kwenda jela miaka 10 kwa kosa la kuteka mtoto mwenye albinism, Margreth Hamisi (6).Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saraphine Nsana, alitoa hukumu hiyo baada ya mshtakiwa kusomewa shtaka na kukiri kutenda kosa hilo.
Ilielezwa mahakamani hapo kwamba,...
10 years ago
Vijimambo21 Oct
Pistorius apatikana na hatia, afungwa jela miaka 5
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/17/141017112755_oscar_pistorius_512x288_reuters.jpg)
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita.
Jaji anayetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mwanariadha Pistorius afungwa jela miaka mitano
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa kifungo cha kwenda jela miaka 5 baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mwingereza Jermaine Grant afungwa jela Kenya
Mwanamume mmoja raia wa Uingereza, anayetuhumiwa kupanga mashambulio ya kigaidi, amefungwa jela miaka tisa na mahakama mjini Mombasa.
11 years ago
BBCSwahili19 May
Muuguzi mwenye HIV afungwa jela Uganda
Mahakama imempata na hatia muuguzi mwenye virusi vya HIV, aliyeshitakiwa kumdunga mtoto mchanga sindano kwa lengo la kumuambukiza mtoto huyo HIV
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania