Kijasho chepesi
Walimfuatilia hadi alipoondoka kwa safairi ya kuelekea Bagamoyo kwa mganga na kwa kiasi fulani waliona kuwa mipango yao inanyooka baada ya kumwaona alivyokuwa anatapatapa kama mfa maji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Kichapo chepesi
Mlango wa ofisi ukagongwa mara mbili kisha ukafunguliwa taratibu na akaingia mwanamume mmoja aliyekuwa amevalia kofia ya baraghashia. Katika mkono wake wa kushoto alikuwa ameshika mkoba wa ngozi. Huyo alikuwa mganga wa jadi Mzee Waziiri Mwinyi.
“Karibu mgeni†Rose alimkaribisha huku akimwangalia mgeni huyu aliyekuwa akiingia taratibu.
“Aksante bibie.†Alimjibu huku akisimama mbele ya dirisha la Katibu Muhtasi.
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Wamaasai watoana kijasho 'Olimpiki' Kenya
Olimpiki ya wanariadha wamaasai imefanyika nchini Kenya miwhsoni mwa juma waasai hao wakitoana kijasho katika riadha na michezo mingineyo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEyboTS3I9TGOYSvKranhCcpIAuEhdidAT98enuyqmFs9HGmdcYFo6u6MzX*9ajkNKBVIIWTwYg0T31UEHl7cJzc/mpekeepek.jpg?width=650)
OYA MWANA LAZIMA KIJASHO CHEMBABA KIKUTOKE!
Ikoje watu wa Saa Godi? Nipo tena kwa mahewa kukisanua hapa kwa fasi ya jamvini arifu. Heroo kwani kuna kwikwi? Haina kitu, kaa humu wewe uwe mjanja!Bifoo sijazama kwa mastori moo kuna ishu moko fekelo kinoma naona dizaini kama inashika kasi. Eti kichwa mbulula kinaacha kupiga mzigo kutengeneza mkwanja anaanza kukrosi kwenye mapaking tauni anajipiga mafoto makare na ndiga za watu dheni anatupia kwa insta eti abauti lasti naiti!...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania