Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kichapo chepesi

Mlango wa ofisi ukagongwa mara mbili kisha ukafunguliwa taratibu na akaingia mwanamume mmoja aliyekuwa amevalia kofia ya baraghashia. Katika mkono wake wa kushoto alikuwa ameshika mkoba wa ngozi. Huyo alikuwa mganga wa jadi Mzee Waziiri Mwinyi. “Karibu mgeni” Rose alimkaribisha huku akimwangalia mgeni huyu aliyekuwa akiingia taratibu. “Aksante bibie.” Alimjibu huku akisimama mbele ya dirisha la Katibu Muhtasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kijasho chepesi

Walimfuatilia hadi alipoondoka kwa safairi ya kuelekea Bagamoyo kwa mganga na kwa kiasi fulani waliona kuwa mipango yao  inanyooka  baada ya kumwaona alivyokuwa anatapatapa kama mfa maji.

 

11 years ago

GPL

...WALA KICHAPO

Stori::Denis Mtima na Chande Abdallah Kichapo! Jamaa wawili wanaotuhumiwa kuwa wezi, nusura wauawe kwa kuchomwa moto na raia wenye hasira kali baada ya kula kichapo ‘hevi’ kwa msala wa kukwapua mkoba wa mrembo aliyekuwa ndani ya Bajaj. Kijana ambaye hakufahamika jina lake mapema amejikuta kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua mkoba kwenye bajaji Katika tukio hilo lililojiri maeneo ya...

 

10 years ago

GPL

BODABODA ALA KICHAPO!

DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Shabani ambaye ni dereva wa bodaboda wa Kijiji cha Mkuyuni, Tarafa ya Matombo Wilaya ya Morogoro Vijijini, amenusurika kifo baada ya kupokea kichapo kutoka kwa wananchi akidaiwa kugonga basi la wasanii waliotoka Dar kuja kushiriki mazishi ya marehemu Abdul Bonge kijijini hapa. Bodaboda huyo akiamuliziwa baada ya kupewa kichapo Kwa mujibu wa chanzo, bodaboda...

 

11 years ago

GPL

VAI ACHEZEA KICHAPO

Stori: Gladness Mallya KICHAPO! Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amechezea kichapo ‘vitasa’ kutoka kwa bwana’ke aliyetajwa kwa jina la Boniface Matiku ‘Bonny’. Vai akiugulia maumivu ya kipigo hevi kutoka kwa bwana'ke. Kwa mujibu wa sosi wetu, ishu hiyo ilijiri hivi karibuni mishale ya usiku nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Mwananyamala-Hospitali...

 

5 years ago

CCM Blog

WAANDISHI WACHEZEA KICHAPO

Waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro akiwamo wa gazeti la Mwananchi, Janeth Joseph walijikuta katika wakati mgumu katika mkutano wa Mbunge wa Hai (Chadema), Freeman Mbowe baada ya askari polisi waliovaa sare na wengine kiraia kuwapiga kwa vitako vya bunduki walizokuwa wamebeba.

Kabla ya kutokea vurugu hizo, juzi katika mkutano wa Mbowe uliokuwa ukifanyika katika viwanja vya Nkoromu katika Kata ya Masama kati wilayani Hai, polisi walivamia gari la mbunge huyo wakitaka kuingia ndani kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Celtics yaambulia kichapo Poland

Celtics ya Scotland iliambulia kichapo cha 4-1 dhidi ya Legia Warsaw

 

11 years ago

GPL

WAREMBO WALA KICHAPO BAA

Stori: Denis Mtima na Chande Abadallah
BALAA! Siku chache tu baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, warembo wawili ambao majina yao hayakufahamika haraka wamejikuta wakila kichapo kutoka kwa mabaunsa kufuatia kuchelewa kutoka ndani ya baa waliyokuwa wakipombeka. Akilia baada ya kula kichapo. Tukio hilo la aina yake lilijiri Agosti 5, mwaka huu katika baa hiyo mpya iliyopo Sinza ya Afrikasana jijini Dar es Salaam....

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yapewa kichapo na Totenham

Chelsea ilicharazwa na kilabu ya Totenham na hivyobasi kusalimu amri ya uongozi wa ligi ya Uingereza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond anusurika kichapo Ujerumani

MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz,’ mwishoni mwa wiki alinusurika kichapo kutoka kwa mashabiki wenye hasira wakikerwa kuchelewa kwake kupanda jukwaani kutumbuiza, mjini Stuttgart, Ujerumani....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani