Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAANDISHI WACHEZEA KICHAPO

Waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro akiwamo wa gazeti la Mwananchi, Janeth Joseph walijikuta katika wakati mgumu katika mkutano wa Mbunge wa Hai (Chadema), Freeman Mbowe baada ya askari polisi waliovaa sare na wengine kiraia kuwapiga kwa vitako vya bunduki walizokuwa wamebeba.

Kabla ya kutokea vurugu hizo, juzi katika mkutano wa Mbowe uliokuwa ukifanyika katika viwanja vya Nkoromu katika Kata ya Masama kati wilayani Hai, polisi walivamia gari la mbunge huyo wakitaka kuingia ndani kwa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Magolikipa wawapa kichapo cha Mbwa mwizi Waandishi!

TIMU ya magolikipa inayoongozwa na mlinda mlango  Ivo Mapunda wa Simba, Shaaban Kado wa Coastal Union na Salehe Malande wa Ndanda juzi waliiongoza timu yao ya Chama Cha Magolikipa Tanzania (TAGA FC) kuiadhibu ile ya waandishi wa Habari za Michezo nchini (Taswa FC) magoli 3-0 kwenye mchezo maalum wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Bora, Kijitonyama jijini Dar es salaam.
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika kwenye uwanja wa Karume kabla ya kuahamishiwa uwanja wa bora kutokana na...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU

 Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani), ndani ya Idara ya Habari MAELEZO,mapema leo jijini Dar kuhusiana na matokeo ya harambee ya Media Car Wash for Cancer Campaign, inayoendelea nchini.  Mwenyekiti wa Kamati ya Harambee ya Kuwasaidia waandishi wanaougua maradhi mbali mbali, Bw. Benjamin Thompson akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa habari (hawapo...

 

9 years ago

Mwananchi

Kichapo chepesi

Mlango wa ofisi ukagongwa mara mbili kisha ukafunguliwa taratibu na akaingia mwanamume mmoja aliyekuwa amevalia kofia ya baraghashia. Katika mkono wake wa kushoto alikuwa ameshika mkoba wa ngozi. Huyo alikuwa mganga wa jadi Mzee Waziiri Mwinyi. “Karibu mgeni” Rose alimkaribisha huku akimwangalia mgeni huyu aliyekuwa akiingia taratibu. “Aksante bibie.” Alimjibu huku akisimama mbele ya dirisha la Katibu Muhtasi.

 

11 years ago

GPL

...WALA KICHAPO

Stori::Denis Mtima na Chande Abdallah Kichapo! Jamaa wawili wanaotuhumiwa kuwa wezi, nusura wauawe kwa kuchomwa moto na raia wenye hasira kali baada ya kula kichapo ‘hevi’ kwa msala wa kukwapua mkoba wa mrembo aliyekuwa ndani ya Bajaj. Kijana ambaye hakufahamika jina lake mapema amejikuta kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua mkoba kwenye bajaji Katika tukio hilo lililojiri maeneo ya...

 

11 years ago

GPL

VAI ACHEZEA KICHAPO

Stori: Gladness Mallya KICHAPO! Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amechezea kichapo ‘vitasa’ kutoka kwa bwana’ke aliyetajwa kwa jina la Boniface Matiku ‘Bonny’. Vai akiugulia maumivu ya kipigo hevi kutoka kwa bwana'ke. Kwa mujibu wa sosi wetu, ishu hiyo ilijiri hivi karibuni mishale ya usiku nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Mwananyamala-Hospitali...

 

10 years ago

GPL

BODABODA ALA KICHAPO!

DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Shabani ambaye ni dereva wa bodaboda wa Kijiji cha Mkuyuni, Tarafa ya Matombo Wilaya ya Morogoro Vijijini, amenusurika kifo baada ya kupokea kichapo kutoka kwa wananchi akidaiwa kugonga basi la wasanii waliotoka Dar kuja kushiriki mazishi ya marehemu Abdul Bonge kijijini hapa. Bodaboda huyo akiamuliziwa baada ya kupewa kichapo Kwa mujibu wa chanzo, bodaboda...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU ACHEZEA KICHAPO

MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ hivi karibuni alijikuta akichezea kichapo kutoka kwa mpenzi wake anayejulikana kwa jina la Amani baada ya kutaka kwenda klabu usiku bila kumtaarifu. Msanii wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ akipozi. Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo walimsikia msanii huyo akipiga mayowe na walipotoka walimuona...

 

11 years ago

GPL

WAREMBO WALA KICHAPO BAA

Stori: Denis Mtima na Chande Abadallah
BALAA! Siku chache tu baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, warembo wawili ambao majina yao hayakufahamika haraka wamejikuta wakila kichapo kutoka kwa mabaunsa kufuatia kuchelewa kutoka ndani ya baa waliyokuwa wakipombeka. Akilia baada ya kula kichapo. Tukio hilo la aina yake lilijiri Agosti 5, mwaka huu katika baa hiyo mpya iliyopo Sinza ya Afrikasana jijini Dar es Salaam....

 

9 years ago

GPL

ALA KICHAPO, ACHIMBIWA KABURI

Kijana Juma Rajabu akionekana mwenye majeraha. Na Haruni Sanchawa Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Juma Rajabu, 23, (pichani) mkazi wa Kijiwe Samli Wilaya ya IIala, Dar nusura auawe baada ya kula kichapo maeneo ya Buguruni Sheli, hali iliyofanya afikishwe na polisi Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam kwa matibabu.
Chanzo chetu kilisema kijana huyo alipigwa hadi kupoteza fahamu na wabaya wake waliodai kuwa aliwaibia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani