WAANDISHI WACHEZEA KICHAPO

Waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro akiwamo wa gazeti la Mwananchi, Janeth Joseph walijikuta katika wakati mgumu katika mkutano wa Mbunge wa Hai (Chadema), Freeman Mbowe baada ya askari polisi waliovaa sare na wengine kiraia kuwapiga kwa vitako vya bunduki walizokuwa wamebeba.
Kabla ya kutokea vurugu hizo, juzi katika mkutano wa Mbowe uliokuwa ukifanyika katika viwanja vya Nkoromu katika Kata ya Masama kati wilayani Hai, polisi walivamia gari la mbunge huyo wakitaka kuingia ndani kwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Magolikipa wawapa kichapo cha Mbwa mwizi Waandishi!

Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika kwenye uwanja wa Karume kabla ya kuahamishiwa uwanja wa bora kutokana na...
10 years ago
Michuzi
KAMATI YA HARAMBEE KUWASAIDIA WAANDISHI WA HABARI YAKABIDHI MILIONI 20 KWA WAANDISHI WENYE MAHITAJI YA MATIBABU


10 years ago
Mwananchi17 Sep
Kichapo chepesi
11 years ago
GPL
...WALA KICHAPO
11 years ago
GPL
VAI ACHEZEA KICHAPO
10 years ago
GPL
BODABODA ALA KICHAPO!
11 years ago
GPL
AUNTY LULU ACHEZEA KICHAPO
11 years ago
GPL
WAREMBO WALA KICHAPO BAA
10 years ago
GPL
ALA KICHAPO, ACHIMBIWA KABURI