Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond anusurika kichapo Ujerumani

MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz,’ mwishoni mwa wiki alinusurika kichapo kutoka kwa mashabiki wenye hasira wakikerwa kuchelewa kwake kupanda jukwaani kutumbuiza, mjini Stuttgart, Ujerumani....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Anusurika kichapo mbele ya waombolezaji makaburini kwa kuto kuhudhuria misibani

Kijana Mmoja aliyefahamika kwa jina la Damian Lawa mkazi wa kijiji cha Wenda halmashauri ya wilaya ya Iringa amenusurika kuchapwa viboko Makaburini mbele ya waombolezaji katika mazishi ya mama yake Mzazi Telesia Mvuma kutokana na tuhuma za kutokuwa na utamaduni wa kuhudhuria misiba inayotokea katika eneo hilo.

Kijana huyo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wanakijiji kukamilisha mazishi ya mama yake mzazi ambapo mwenyekiti wa kijiji cha Wenda Denis Mpogole akaamuru familia ya bwana...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND MARUFUKU UJERUMANI

Stori: Sifael Paul na mitandao
Kufuatia vurugu zilizoibuka ukumbini alfajiri ya Jumapili iliyopita baada ya msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kucheleweshwa kupanda stejini kwenye Ukumbi wa Sindelfingen uliopo Mji wa Stuttgart, Ujerumani, mwanamuziki huyo anadaiwa kupigwa marufuku kutia maguu nchini humo. Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. SHUHUDA WETU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini mjini...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond azua balaa Ujerumani

Mwanamuziki Diamond Platinum juzi alizua kizaazaa baada ya vurugu kubwa kutokea nchini Ujerumani na kuvuruga tamasha ambalo alitakiwa kutumbuiza, lakini meneja wake amesema tukio hilo litasaidia kumtangaza zaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani

POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond arudi tena Ujerumani

SIKU chache baada ya kushindwa kufanya shoo mjini Stuttgart, nchini Ujerumani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ ameandaa shoo nyingine nchini humo. Shoo hiyo itafanyika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diamond ajivunia vurugu za Ujerumani

MASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amesema vurugu zilizotokea hivi karibuni nchini Ujerumani, haoni kama zimemchafua kwa namna yeyote na badala yake zimempa nafasi ya...

 

10 years ago

GPL

VURUGU UJERUMANI, KUKAMATWA PROMOTA SIRI 7 ZAFICHUKA SHOO YA DIAMOND

Na Shakoor Jongo
SIKU chache baada ya kutolewa kwa taarifa ya kukamatwa kwa promota aliyempeleka msanii Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ nchini Ujerumani kwa ajili ya kufanya shoo aliyejulikana kwa jina la Awin Williams Akpomiemie, mwenye asili ya Kinigeria, nyuma ya sakata hili siri saba zimefichuka, Risasi Jumamosi lina ripoti kamili. Mashabiki wenye gadhabu wakilizingira gari la Mbongo Fleva, 'Diamond Platinum'...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani