Diamond arudi tena Ujerumani
SIKU chache baada ya kushindwa kufanya shoo mjini Stuttgart, nchini Ujerumani, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ ameandaa shoo nyingine nchini humo. Shoo hiyo itafanyika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLALIYEMPIGA HAUSIGELI ARUDI TENA RUMANDE
10 years ago
Bongo Movies15 May
Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya inayokwenda kwa jina la Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen 'JB' wakiwa 'lokesheni'.
Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.
Jionee kipande cha kazi hiyo HAPA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwHc-q3oWh8DFnMTiAnR65htxGa4N1r6QymSHEKu8i1HAPmYrigLF1C5VEH4yBhjJOGHIyeyA2tufEGpUK55e-fK/diamond.jpg)
DIAMOND MARUFUKU UJERUMANI
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Promota wa Diamond mbaroni Ujerumani
POLISI nchini Ujerumani wamefanikiwa kumtia mbaroni promota Awin Williams Akpomie, aliyeratibu shoo ya mwanamuziki wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ iliyokuwa ifanyike Agosti 30, mjini Stuttgart na kushindwa kufanyika. Shoo...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Diamond ajivunia vurugu za Ujerumani
MASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ amesema vurugu zilizotokea hivi karibuni nchini Ujerumani, haoni kama zimemchafua kwa namna yeyote na badala yake zimempa nafasi ya...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Diamond azua balaa Ujerumani
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Diamond anusurika kichapo Ujerumani
MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz,’ mwishoni mwa wiki alinusurika kichapo kutoka kwa mashabiki wenye hasira wakikerwa kuchelewa kwake kupanda jukwaani kutumbuiza, mjini Stuttgart, Ujerumani....