KIKAO CHA KAMATI MAALUM ZANZIBAR YAPITISHA JINA LA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM DK. ALI MOHAMED SHEIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-GOdccMgFoc0/VZkSICgr4JI/AAAAAAAHnEs/_O6GqacZJnY/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akipongezwa na Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar ilokutana ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein.
VIONGOZI wa Meza Kuu wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jty3nj3cM7M/VaEsr8NEYpI/AAAAAAABRho/0XuP9lIQgxQ/s72-c/CJo_IEpWsAAA-LO.png)
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kamati maalum ya CCM Zanzibar yapitisha jina la Dkt. Shein kugombea urais kwa tiketi ya CCM Uchaguzi mkuu wa oktoba 2015
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, wakati walipowasili kwenye Ukumbi wa Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Zanzibar kwa ajili ya kuhudhuria katika kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar, ambacho leo kilipitisha jina la Dkt. Shein kuwania nafasi ya Urais kwa tiketi ya CCM. (Picha na OMR).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FcohEM1USwU/VePSiZBp7vI/AAAAAAAH1II/pjvySPRaVFM/s72-c/DSC_0984.jpg)
DKT. SHEIN AONGOZA KIKAO CHA KAMATI MAALUM CCM ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-FcohEM1USwU/VePSiZBp7vI/AAAAAAAH1II/pjvySPRaVFM/s640/DSC_0984.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ykh1EmCSWTo/VePSiUZMXnI/AAAAAAAH1IE/4mBReP-7G9k/s640/DSC_0997.jpg)
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha TADEA Mhe Juma Ali Khatib
10 years ago
VijimamboMGOMBEA NAFASI YA URAIS KUPITIA CCM, BALOZI AMINA ALI SALIM AZUNGUMZA NA WANAHABARI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM KIMEKUTANA LEO MJINI ZANZIBAR
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10