Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kikao cha kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira chafanyika jijini Dar leo

Profesa Richard Kangalawe akiwasilisha maoni kuhusu Rasimu ya Sera ya Mazingira katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa NIMR Jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Injinia Angelina Madete akifungua kikao cha kupitia Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira jijini Dar es Salaam. Wajumbe kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wakisikiliza maoni kuhusu mapitio ya Rasimu ya Sera ya Taifa ya Mazingira iliyowasilishwa na jopo la Wataalamu katika kikao kilichofanyika kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIKAO MAALUM CHA KAMATI YA TAIFA YA MAAFA (TANDREC) CHAFANYIKA LEO, JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Maafa (TANDREC), Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka akiongoza Kikao Maalum cha Kamati ya Taifa ya Maafa(TANDREC) ambayo, inaundwa na Washiriki wakuu katika kukabili Maafa, Kikao kimefanyika leo katika ukumbi wa mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu, Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Msaidizi Dharura na Maafa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Elias Kwesi, akiwaeleza wajumbe wa Kamati ya Taifa ya Maafa (TANDREC) jinsi walivyojidhatiti...

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA PILI CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mbarak Abdulwakil wa pili kutoka kushoto akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mwamini Malemi wa kwanza kutoka kushoto pamoja na Viongozi wa Baraza la Wafanyakazi wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Wajumbe wengine wa Baraza hilo wakielekea kwenye ukumbi wa Police Officer’s Mess jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufungua kikao hicho kilichoketi jana kujadili utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2014/2015 na Malengo ya mwaka 2015/2016. Katibu Mkuu wa...

 

5 years ago

CCM Blog

KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM CHAFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli akikaribishwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally alipowasili kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, leo. 
Makamu Mwenyekiti wa CCM,Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein    akikaribishwa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally alipowasili kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini...

 

9 years ago

Michuzi

KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KUPITIA RASIMU YA MPANGO WA WA JESHI LA MAGEREZA KUJITOSHELEZA CHAKULA, JIJINI DAR

 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja akifungua Kikao Maalum cha Wadau kutoka nje ya Magereza(hawapo pichani) cha kujadili rasimu ya Mpango wa Jeshi la Magereza wa kujitosheleza kwa chakula cha Wafungwa waliopo Magerezani. Kikao hicho kimefanyika leo Desemba 8, 2015 katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es Salaam. Mshauri Mwelekezi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Beatus Kundy(aliyesimama) akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Jeshi la Magereza wa...

 

9 years ago

Michuzi

JK AONGOZA KIKAO CHA TISA CHA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha tisa cha baraza hilo katika ukumbi wa mikutano Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 2, 2015 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Bw.  Frank Kanyusi akitoa maelezo kuhusu wavuti mpya ya wakala huo ambayo kuanzia sasa mteja atakuwa anajisajili yeye mwenyewe kupitia huduma hiyo ya mtandaoni  Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Rais Jakaya Mrisho...

 

9 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA TISA CHA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

 Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha tisa cha baraza hilo katika ukumbi wa mikutano Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 2, 2015  Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha tisa cha baraza hilo katika ukumbi wa mikutano Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 2, 2015.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Bw.  Frank Kanyusi akitoa maelezo kuhusu...

 

11 years ago

Michuzi

kikao cha 98 cha watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia TBC chafanyika Mkoani Morogoro

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Joel Bendera akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 98 wa watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia shirika la utangazaji Tanzania (TBC) mkoani Morogoro iliyoanza julai 14 hadi 23 mwaka huu mkoani Morogoro, mkutano huo unafadhiliwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF. kutoka kulia ni Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF, Adam Maingu na (katikati) ni Mkurugenzi wa uendeshaji wa mfuko huo wa PSPF, Neema Muro. mkutano huo unafadhiliwa na Mfuko wa...

 

10 years ago

Michuzi

kongamano la kupata maoni ya wadau kuhusu rasimu ya sera ya Petroli lafunguliwa leo jijini Dar

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akifungua kongamano la siku moja la kupata maoni ya wadau kuhusu rasimu ya sera ya Petroli linalofanyika leo katika ukumbi wa mikutano uliopo Hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo limejumuisha wadau wa mafuta na gesi, wabunge, viongozi wa dini na mikoa iliyofanyiwa utafiti wa mafuta na gesi na vyama vya siasa. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro (hayupo pichani) wakati akifungua kongamano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani