Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aagiza TBL ifuatiliwe

RAIS Jakaya Kikwete ametaka ufanyike ufuatiliaji kubaini kama Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) imerithi madeni yote ya wakulima wa zabibu baada ya kununua Kampuni ya kutengeneza mvinyo ya Cetawico. Alisema hayo juzi mjini hapa wakati akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Buigiri Wilaya ya Chamwino.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza madereva wachunguzwe

RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kusisitiza zifanyike jitihada zaidi kusimamia kikamilifu Sheria ya Usalama Barabarani na kufuatiliwa kwa karibu kwa mienendo ya wanaoendesha vyombo vya moto.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza mkandarasi alipwe

RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Maji na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kutafuta fedha za kumlipa mkandarasi kujenga bwawa la Kidete anayedai Sh bilioni mbili, ili arejee kazini kukamilisha kazi iliyopangwa. Rais Kikwete ametoa agizo hilo baada ya Mbunge wa Kilosa, Mustafa Mkulo, kumueleza Rais kwamba ujenzi wa bwawa hilo umesimama kwa muda mrefu, kwa sababu mkandarasi anaidai serikali Sh bilioni mbili.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza Halmashauri zinunue nyumba NHC

HALMASHAURI nchini zimetakiwa kununua nyumba za bei nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) ili kuwapangisha watumishi wake.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza UWT isaidie kuleta ushindi

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ), Jakaya Kikwete amewaagiza viongozi wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) kujipanga na kubuni mikakati itakayokiwezesha chama hicho kupata ushindi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza kuanzishwe kampeni saratani ya tezi dume

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kuanzisha kampeni ya saratani ya tezi dume.

 

10 years ago

GPL

KIKWETE AAGIZA HALMASHAURI ZINUNUE NYUMBA NHC‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa katika mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo zilizopo Kongwa mkoani Dodoma. (Picha zote kwa hisani ya Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa)…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aagiza Halmashauri zinunue nyumba NHC

Na Sifa Lubasi, Kongwa HALMASHAURI nchini zimetakiwa kununua nyumba za bei nafuu zinazojengwa na Shirika la Nyumba (NHC) ili kuwapangisha watumishi wake.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akifungua mradi wa nyumba nafuu katika eneo la Mnyakongo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Alisema kumekuwa na tabia ya baadhi ya maeneo watumishi wa halmashauri kukaa mbali na sehemu zao za kazi kwa visingizio vya kukosa makazi.
Alisema sababu hiyo sasa haina msingi katika maeneo ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani