Kikwete awaapisha makatibu wa Bunge
Rais Jakaya Kikwete jana aliwaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba, hali inayoonyesha kuwa kazi ya Bunge sasa imeanza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-U9MHjjlEWcY/VFtu1D7NXzI/AAAAAAAGvzA/pPKzgZeOo6I/s1600/unnamed%2B%2839%29.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU, MABALOZI,WAKUU WA MIKOA NA MAKATIBU TAWALA WAPYA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
StarTV02 Jan
Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli amewaapisha Makatibu wakuu na Manaibu katibu wakuu wa wizara mbalimbali wa Serikali ya awamu ya tano, ikiwa ni mwendelezo wa kukamilisha uteuzi wa watendaji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia Rais Magufuli kufanya uteuzi wa Makatibu wakuu 29 na Manaibu katibu wakuu 21 na jumla yao kuwa 50, Desemba 29 huku akimbakiza katika nafasi yake Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue.
Januari mosi ya mwaka 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
JK awaapisha Makatibu Wakuu leo Ikulu jijini Dar
Dkt.Maria Mashingo akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi mapema leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Prof.Elisante Gabriel akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Jakaya Kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, leo Ikulu jijini Dar es Salaam,awali Prof.Gabriel alikuwa Naibu Mkuu wa Wizara hiyo.
Rais wa...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Breaking News: Rais Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu, Ikulu – Dar
Rais John Pombe Magufuli asubuhi hii kwenye Ikulu jijini Dar es Salaam, anawaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa wizara mbalimbali aliowateua juzi Desemba 30.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s72-c/D92A4440.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s1600/D92A4440.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
11 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-0WNkgl4cLAs/UyLKHSzkxBI/AAAAAAAAOGI/4YCpYIWpDgo/s1600/IMG_4232.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu...
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Rais Dkt. John Pombe Magufuli awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu leo Ikulu Jijini Dar
![IMG_0311](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0311.jpg)
![IMG_0322](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0322.jpg)