Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Msisubiri kumwagiwa fedha mifukoni

RAIS Jakaya Kikwete amesema dhamira ya Serikali ni kuinua maisha ya Watanzania na dhamira hiyo iko pale pale na kwamba wanaofikiri nia hiyo ni kuwajaza wao fedha mifukoni uwezo huo haupo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wahitimu Vyuo Vikuu msisubiri kuajiriwa’

WAHITIMU wa Vyuo Vikuu nchini wametakiwa  kutumia elimu waliyoipata katika kujiajiri na kubuni miradi mbalimbali ya maendelo  badala ya kusubiri kuajiriwa na serikali au makampuni binafsi. Rai hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahiza: Nitazishughulikia asasi za mifukoni

“OLE wao watakaogundulika wanatumia asasi zisizo za kiserikali kama sehemu ya kujipatia mitaji na kutumia fedha kinyume cha malengo ya maombi,” hiyo ni kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani,...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu kumwagiwa ajira 26,000 Januari

Naibu Waziri wa Nchi, Tamisemi, anayeshughulikia Elimu, Kassim MajaliwaSERIKALI imetangaza kutoa ajira mpya 26,000 za walimu kuanzia Januari mwakani, ikiwa ni mpango endelevu wa kupunguza uhaba wa walimu katika shule za msingi na sekondari nchini.

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA SHEIKH KIAGO BAADA YA KUMWAGIWA TINDIKALI

Mtoto wa SHEIKH, KIAGO akiugulia maumivu ya majeraha usoni baada ya kumwagiwa Tindikali akiwa na Baba yake wakielekea msikitini.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto wa miaka 8 achapwa na kumwagiwa maji moto

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka minane amechapwa viboko na kumwagiwa maji ya moto na mama yake kwa kambo kwa kuchelewa kuwapa wadogo zake chakula cha mchana.

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vya siasa vya mifukoni vifutwe

Moja ya mambo ambayo tumejifunza kutokana na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki ni kwamba asilimia kubwa ya vyama vya siasa nchini havina sifa ya kuitwa vyama vya siasa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Binti wa kazi ajeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa uji wa moto na mke wa bosi wake, kisa wivu wa kimapenzi

jeraha

Msichana Jackline Lasway akiwa amelazwa katika wodi ya kina mama namba mbili katika hospitali ya Mkoa wa Singida baada ya kujeruhiwa kwa kumwagiwa uji wa moto wakati akiwa dukani kwa bosi wake eneo la soko kuu Manispaa ya Singida.

Na Mwandishi Wetu , Singida.

Msichana mmoja mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa dukani  kutokana na kile kinachosadikiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Msichana huyo Jackline Lasway...

 

5 years ago

Michuzi

KUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO



 
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana. 
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian LubuvaRAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani