Kikwete: Wasanii wa Bongo Fleva wanatuliwaza kwa kuitangaza Tanzania pale tunapofanya madudu kwenye soka
Rais Jakaya Kikwete amesema wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wameipeleka Tanzania mbali kwa kazi nzuri wanayoifanya na hivyo kuwaliwaza watanzania kwakuwa nchi bado inaendelea kufanya ‘madudu’ kwenye soka la kimataifa. Akihutubia bunge mjini Dodoma jioni hii, Kikwete amesema wasanii wanaliletea taifa heshima kubwa hivyo ni lazima wawezeshwe zaidi. Rais Kikwete amedai kuwa kwa kutambua […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Feb
Lulu Asema Wasanii Wengi wa Bongo Movie Hawajieliwi, Tofauti na Bongo Fleva
Mrembo na muigizaji wa filamu za kibongo, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ amesema wasanii wengi wa filamu hawana mawazo ya maana na hawafikiriimambo makubwa kuhusu wanachokifanya. Bali hufanya tu kwa sababu wapo katika jamii na ahahisi wale wa bongo fleva wanafikiri zaidi yao
“ Unawaza kwanza kIsha unatenda, wasanii wa filamu hatuna mawazo mazuri zaidi ya ubishoo tu, hatuoni mbali hatuna wivu wa kimaendeleo leo unakuta msanii wa Bongo Fleva wanatoka nnje na wanarudi na tuzo lakini sisi tumekaa...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wasanii Bongo Fleva na shoo za sebuleni Ulaya
11 years ago
GPLWAANDISHI WAIBUKA KIDEDEA DHIDI YA WASANII WA BONGO FLEVA
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
9 years ago
Bongo514 Nov
Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine
![lollipop2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/lollipop2-300x194.jpg)
Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.
Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.
“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Stara arudi kwenye muziki wa Bongo Fleva
“Nimeamua kurudi nilipotekea, najua mashabiki zangu wengi watakuwa wakikumbukua jinsi gani nilikuwa nafanya vizuri,” alisema Stara.
Alisema wimbo huo utaweza kuonyesha jinsi gani amezaliwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2-BtFF1TLPY/U4HG0fHtgRI/AAAAAAAFk48/wBKZAXXvZZQ/s72-c/unnamedA2.jpg)
Heineken Tanzania yawaburudisha wadau wa soka kwa kuonyesha fainali za UEFA champions league pale Golden Tulip hotel
![](http://4.bp.blogspot.com/-2-BtFF1TLPY/U4HG0fHtgRI/AAAAAAAFk48/wBKZAXXvZZQ/s1600/unnamedA2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OMAxshdUcqI/U4HG0VkYyGI/AAAAAAAFk40/vxMMg_Zw4Ok/s1600/unnamedA3.jpg)