KILA LAKHERI BI REGINA MWALEKWA NDANI YA KITUO CHAKO KIPYA CHA KAZI BBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-WkeBFwTvegU/U7Y0TB8SpFI/AAAAAAAFu1g/9VEhOMWFXGw/s72-c/IMG_1153.jpg)
Wakiwa wenye Nyuso za Furaha.Watangazaji mahiri wa Radio na Televisheni,Bi.Regina Mwalekwa aliyekuwa mtangazaji wa Radio One na baadae akahamia Clouds FM/TV na sasa amejiunga na Shirika la Utangazaji la BBC akiwa na mtangazaji mwenzake kutoka kituo cha televisheni cha ITV/Radio One Bi.Fatma Almas Nyangasa,kama walivyonaswa na Camera ya Globu ya Jamii ndani ya viwanja vya maonyesho ya Saba saba yanayoendelea hivi sasa jijini Dar.Bi Regina Mwalekwa kwa sasa sauti yake itakuwa ikisikika rasmi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Usikose kipindi kipya cha luninga ‘Nyumbani na Diaspora’ kinachoendeshwa na Maggid Mjengwa kila Ijumaa ndani ya TBC 1
Nyumbani na Diaspora!
Ni kipindi kipya cha saa nzima chenye kuhusiana na Watanzania wa nyumbani na walio nje ya mipaka yetu.
Ni kipindi daraja kitakachowaunganisha Watanzania katika kubaini fursa mbalimbali za kuinuka kimaendeleo, kwa mtu mmoja mmoja, jumuiya na hatimaye taifa.
Ni kipindi kitakachoongozwa na mchambuzi na mmoja wa wanahabari nguli hapa nchini. Si mwingine ni Maggid Mjengwa.
Jiunge nae kufuatilia mahojiano motomoto na watu wa kada mbalimbali kwenye masuala ya kiuchumi,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWfoVn9l8wDxi1tYmNnP7NYlzcys0VTAqY*9D-II*2FDqeNh1F7rnHnDxyPL2iDjRBTh1Xb5Pc1p4rhFJFBsA6XA/10.jpg)
CHA MPENZI WAKO CHAKO, CHAKO CHAKO, HOW COME?
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5ty75VFGexI/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Kila lakheri Young Africans
10 years ago
Michuzi25 Jan
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...