KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TANO MKOANI KIGOMA,AHUTUBIA HUKU MVUA KUBWA IKINYESHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KcJp3rygzb8/U0mNIuVkoYI/AAAAAAAANGk/KD_xdJ0QzJ0/s72-c/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Kigoma mjini bila kujali mvua,ambapo alisisitiza kuwa CCM itatekeleza kila walichoahidi.
Kila mtu alijikinga na mvua kwenye uwanja wa Mwanga Community Centre
Viti vikitumika kujikinga na mvua iliyokuwa inanyesha wakati wa mkutano wa CCM uliofanyika kwenye viwanja vya Mwanga Community Centre wilaya ya Kigoma mjini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (wa kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU NANE MKOANI SINGIDA,KESHO KUELEKEA MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s1600/15.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FTH2orDTkRc/U0QqDMq9jOI/AAAAAAACeS0/f_tO-rXvqw0/s72-c/IMG_3779.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AWASILI MKOANI KIGOMA JIONI YA LEO KWA ZIARA YA SIKU TANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FTH2orDTkRc/U0QqDMq9jOI/AAAAAAACeS0/f_tO-rXvqw0/s1600/IMG_3779.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D8hb9U7Bqn0/U0QqAysGY6I/AAAAAAACeSo/QGfoSZdjG3Q/s1600/IMG_3793.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2QCIHe5VFOc/U0QqDFReffI/AAAAAAACeSw/nclIuRFaLOk/s1600/IMG_3796.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zZeCMCs4z_A/VQH-kCOOJDI/AAAAAAAC1go/mEbVextPi3Y/s72-c/22.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 9 MKOANI DODOMA,KESHO KUUNGURUMA JIJINI ARUSHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZeCMCs4z_A/VQH-kCOOJDI/AAAAAAAC1go/mEbVextPi3Y/s1600/22.jpg)
Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ilikuwa ya mafanikio makubwa, kwani msafara wake...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s72-c/17.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA,ALA CHAKULA CHA MAMALISHE KUWAUNGA MKONO,AHITIMISHA ZIARA YAKE KWA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA/
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDfcbVdjq6Q/U3kRD8wLF3I/AAAAAAAChi4/rn2KfXQsZsc/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wi5ui1N9Kjc/U3kRHiAciUI/AAAAAAAChjA/uD6dNZhqm3I/s1600/18.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Kinana amaliza ziara ya siku 10 mkoani Kagera
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmNeYoPkVEs/VX3hu3gX51I/AAAAAAAAePU/3hWn4LbHioA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Buharamulo mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Nyabugombe ,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6pXFq1zf63s/VX3jhy1Hx0I/AAAAAAAAeT0/W7XWb3R1O9Q/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya wilaya ya Biharamulo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OMlP6UbiQ84/VX3hunnZWII/AAAAAAAAePQ/C5kmH_GPcu0/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa kata ya Nyakahura,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dbspODdP9i8/VX3htMyuRDI/AAAAAAAAePI/KhUlKyrH9gw/s640/11.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pzK-sfe3Q_c/VX48mLYrBEI/AAAAAAAAeVY/4nrNm1-Cn5E/s72-c/72.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIHISTORIA MKOANI KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzK-sfe3Q_c/VX48mLYrBEI/AAAAAAAAeVY/4nrNm1-Cn5E/s1600/72.jpg)
Katibu Mkuuu wa CCM Abdulrahman Kinana amehitimisha ziara yake ya ya siku 10 ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika mkoa wa Kagera kwa mafanikio makubwa.
Katika ziara hiyo Kinana amemaliza ziara hiyo leo Julai 14, 2015, baada ya kutembea jumla ya kilometa 3374, akiwa ametembelea majimbo yote tisa katika wilaya zote nane za mkoa huo.
Ziara hiyo imeonyesha kuwa...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Ke3Sl6FMd_Q/U0r8_016s8I/AAAAAAACev8/9sdUx2JZaZE/s1600/22.jpg)
KATIBU MKUU CCM AMALIZA ZIARA YAKE KIGOMA, AHAMIA MKOANI KATAVI
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Kinana atinga Kigoma kuanza ziara ya kikazi ya siku tano
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma jana jioni akitokea Rwanda, tayari kuendelea na ziara ya siku tano katika Mkoa wa Kigoma, kwa ajili ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayoyekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM.
Kinana akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, Walidi Kaburu baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma.Kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka Zanzibar, Ally Karume.
Gwaride la...
11 years ago
GPLKINANA ATINGA KIGOMA KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TANO