Kinana ammwagia sifa Mama Salma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amempongeza Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA, Mama Salma Kikwete kwa juhudi za kusaidia na kuinua wanawake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Feb
JK ammwagia sifa Kinana
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Kinana ammwagia sifa Lowassa
Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemmwagia sifa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kuwa ni miongoni mwa viongozi waliotekeleza kikamilifu ilani ya chama hicho.
Kinana ambaye yupo mkoani Arusha kwa ziara ya chama hicho ya siku tisa, aliyasema hayo yeye na msafara wake alipopokewa katika Kata ya Makuyuni Wilaya ya Monduli.
“Napenda kumpongeza mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu mstaafu kwa kazi kubwa ya maendeleo aliyoifanya katika jimbo...
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Kinana amsifu Mama Salma Kikwete kuanzisha shule ya WAMA Nakayama
Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Kagame ammwagia sifa Kikwete
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2667114/highRes/978092/-/maxw/600/-/136rpgrz/-/JK_Kagame.jpg)
Dar es Salaam. Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa kuboresha huduma za Bandari ya Dar es Salaam na kuwezesha mizigo inayosafirishwa kwenda Rwanda kufika mapema zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita.Akizungumza kwa furaha wakati marais hao walipotembelea kitengo cha kushusha na kupakia mizigo cha TICTS...
9 years ago
Habarileo18 Aug
Pluijm ammwagia sifa Bossou
KOCHA Mkuu wa Yanga Hans Van Pluijm ametamka kwamba beki mpya wa klabu hiyo kutoka Togo Vincent Bossou ni mchezaji mwenye kiwango cha kimataifa.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Kerr ammwagia sifa Kiiza
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema mshambuliaji wake, Hamisi Kiiza ni aina ya wachezaji ambao ukiwa nao uwanjani unajua wakati wowote utafurahi.
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Pinda ammwagia sifa Peter Msigwa
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Vannesa ammwagia sifa Madam Rita
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIMBAJI wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, amempa sifa Mkurugenzi wa Bench Mark Production, waandaji wa kipindi cha kuibua vipaji vya muziki cha Bongo Stars Search ‘BSS’, Rita Poulsen ‘Madam Rita’, kuwa ni mwanamke anayestahili kuigwa na wanawake wengi nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Vanessa alisema sifa hizo amezitoa ikiwa ni siku ya kuzaliwa kwa Rita, ambaye kwa kiasi kikubwa ameweza kuibua vipaji vingi vya wasanii wachanga.
Vanessa alisema Rita...
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Hodgson ammwagia sifa kemkem Rooney