KINANA AWAKUTANISHA WATANI WA JADI HAMIS KIGWANGALAH NA HUSSEIN BASHE WILAYANI NZEGA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akisalimiana na wananchi wa katika mkutano wa hadhara wa CCM katika Kata ya Ndala, wilayani Nzega, Tabora leo, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM na kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na kusikiliza kero za Wananchi.
Mbunge wa Jimbo la Nzega Hamis Kigwangalah (kushoto), akimpongeza Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Hussein Bashe aliyetoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/PIe0GM-9ERU/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog11 May
Kinana afunika Nzega, Kigwangala na Bashe wachuana kutoa misaada mbele yake
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Nzega njini kwenye mkutano uliofanyika kwenye viwanja vya Parking hapo Nzega ambapo aliitaka serikali kupunguza vikwazo na maamuzi juu ya maendeleo ya wananchi yasichukue muda mrefu.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Nzega kwenye mkutano uliofanyika Nzega mjini na kuwaambia wananchi hao kuwa wasisumbuke na wapinzani kwani wapinzani hawapo kwa ajili ya maslahi ya maendeleo ya...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Pambano la watani wa jadi,Simba kidedea
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Pambano la watani wa jadi homa juu
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Nchimbi ampamba Bashe Nzega Mjini
MJI wa Nzega mkoani Tabora wiki iliyopita ulitawaliwa na nderemo za aina yake wakati mgombea ubun
Christopher Gamaina
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ITA-89MWs0/U23fd8kTIrI/AAAAAAACgrQ/m7T0TUtlmTU/s72-c/IMG_8957.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI NZEGA KUENDELEA NA ZIARA YAKE YA SIKU KUMI MKOANI TABORA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ITA-89MWs0/U23fd8kTIrI/AAAAAAACgrQ/m7T0TUtlmTU/s1600/IMG_8957.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zij790m46Ls/U23jobEnlAI/AAAAAAACgrs/SqWsqyqwfyI/s1600/DSC_1528.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8fVNtXNfvSU/U26Bf0i5KUI/AAAAAAACgtE/d1IgGE4ZEAc/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO NA KUFANYA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA WILAYANI NZEGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fVNtXNfvSU/U26Bf0i5KUI/AAAAAAACgtE/d1IgGE4ZEAc/s1600/15.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iiurmBnLonA/U26BpoAfJ3I/AAAAAAACgtM/KIigkiXXjpk/s1600/16.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zc2NC72IU_E/U26BGj_oNzI/AAAAAAACgss/Q71NMhxbH9Y/s1600/12.jpg)
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI NZEGA LEO,KESHO NDANI YA WILAYA YA UYUI MKOANI TABORA