KINANA AZINDUA MRADI WA MAJI MUYUYU NA KIKUNDI CHA UTENGENEZAJI BATIKI KIBITI RUFIJI
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya maji mama mmoja wa Kijiji cha Muyuyu, katika Jimbo la Kibiti, alipozindua mradi wa maji katika Kijiji cha Muyuyu, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM mkoani Pwani.
Katibu wa Ityikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, akihutubia katika Kijiji cha Mchukwi ambapo Kinana alikwenda kuzindua kikundi cha Akina mama cha kutengeneza batiki.
Kinana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s18MPlBsAHE/UyxJxwUUHyI/AAAAAAAFVWM/SAFBg2Cdd3w/s72-c/001.jpg)
WAZIRI WA MAJI JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA KWADELO WILAYA YA KONDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-s18MPlBsAHE/UyxJxwUUHyI/AAAAAAAFVWM/SAFBg2Cdd3w/s1600/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Uio9JO2qkNg/UyxJzDOIsKI/AAAAAAAFVWU/10LAS6ZwszU/s1600/002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S2HUNEZOPgc/UyxJyyUiuAI/AAAAAAAFVWY/nmi0TYV91W8/s1600/003.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s72-c/AMI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIJIJI CHA MKONGO NAKAWALE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s1600/AMI%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa Maji kijiji cha Mkongo Nakawale ambao watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi.
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe 12 mei mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI WA SHILINGI MILIONI 300 KIJIJI CHA MVUMI MAKULU MKOANI DODOMA.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI MBAGALA KUU,JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-92E5ONMyB4M/VU8fcta2O-I/AAAAAAAAbfE/QPI8OZbi8cs/s72-c/34.jpg)
NAPE AZINDUA KIKUNDI CHA MICHEZO CHA TEGETA JOGGING.
![](http://4.bp.blogspot.com/-92E5ONMyB4M/VU8fcta2O-I/AAAAAAAAbfE/QPI8OZbi8cs/s640/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6eeV9ERzzSg/VU8fdrIO5uI/AAAAAAAAbfM/qT5v4JQfK8M/s640/35.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Mnyika azindua mradi wa maji
Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema).
Na Mwandishi wetu
MBUNGE Ubungo, John Mnyika (Chadema) amezindua mradi wa maji ya kisima katika kata ya Mbezi Luis jijini Dar es salaam.
Mradi huo wa maji unatokana na mchango na nguvu ya wananchi wa kikundi cha maendeleo cha ‘great 12 development group’ kinachotarajia kuchimba visima ambavyo vitasambaza maji kwa wananchi wanaowazunguka.
Akizunguma jana jijini Dar es Salaam, katika uzinduzi huo Mnyika alisema mradi huo umegharimu milioni 40...
10 years ago
GPLMBUNGE WA KIGAMBONI AZINDUA NA KUCHANGIA KIKUNDI CHA AMANI GROUP KINGUGIA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10