Kinana kuhutubia Mererani kesho
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Orkesumet ambapo aliwambia ahadi za Rais zitatekelezwa kama zilivyoahidiwa kwa wananchi wa Simanjiro.Katibu Mkuu pia alisisitiza wananchi kutochagua viongozi wa vijiji wa hovyo ambao mwisho wa siku huuza ardhi yao na kusababisha migogoro.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Orkesumet ambapo pia alitoa salaam za pole kwa niaba ya chama cha Mainduzi kwa Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Singida Ndugu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Mar
KINANA AWA SHUJAA ARUSHA MJINI KUHUTUBIA WANANCHI KESHO KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-cQr_0lxHmzg%2FVQwmRekKlFI%2FAAAAAAAAYgU%2FhTEmo-M6xWo%2Fs1600%2F01.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-kjrf-EyX2UY%2FVQwmUsztIRI%2FAAAAAAAAYgc%2Fd3hgMu5_x08%2Fs1600%2F3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-znuC6_U-vYs%2FVQwmXkeduoI%2FAAAAAAAAYgo%2FZwoPDcd-IF8%2Fs1600%2F6.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-RgguMVF1jmI%2FVQwmYO9h7RI%2FAAAAAAAAYgs%2FLpKbXzOqUwk%2Fs1600%2F7.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog03 Jun
Kinana aunguruma Mererani
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mererani wilaya ya Simanjiro ambao wengi ni wachimbajI wa wadogo wadogo wa madini kwenye mkutano wake mjini Mererani wilaya ya Simanjiro Manyara.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mererani ambao aliwaambia vyama vya Upinzania ni sawa na Jogoo kwani hata awike vipi hawezi fungua mlango na kwa sababu vyama hivyo havipo kwa ajili ya maendeleo ya wananchi basi vinelekea kufa kwani havina sera mpya...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-EZuEXh-w-Gc/U4zgnCAHEtI/AAAAAAACit0/sAlmv0ZSH5o/s1600/13.jpg)
KINANA AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGOWADOGO WA MADINI, MERERANI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI KUHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Bunge hilo lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akifungua Bunge hilo, Rais Magufuli aliainisha viapaumbele kadhaa vya Serikali yake ikiwemo kupambana na rushwa, kukusanya kodi, kupunguza urasimu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HtrSSewJoIM/U4t_N-AH_JI/AAAAAAACiqY/Logt5OaEGqk/s72-c/9.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AUNGURUMA ORKESUMENT SIMANJIRO, LEO KUPASUA MERERANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HtrSSewJoIM/U4t_N-AH_JI/AAAAAAACiqY/Logt5OaEGqk/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hetmF0CORYo/U4tp5QqCJLI/AAAAAAACipA/leQnOtYp0B4/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pwVVnsMKDN0/U4tp4NY8roI/AAAAAAACio4/fsdK-4p8r9k/s1600/15.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Feb
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s72-c/14.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,KINANA NDANI YA MERERANI,AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO WA MADINI NA KUSIKILZA CHANGAMOTO ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ee4UN2FQfqI/U4zh-ak4jZI/AAAAAAACiuI/7sm-9MOdgkY/s1600/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wB0YfRykrlY/U4zh8Mu5WeI/AAAAAAACiuA/NRC90O9WADA/s1600/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cF3RV8e731I/U4ziDniQBdI/AAAAAAACiuY/dxqyoJHfn2c/s1600/17.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...