Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinshasa:Chimbuko la virusi vya HIV

Ugonjwa wa ukimwi uligunduliwa miaka ya 1920 mjini Kinshasa, nchini Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo. Wanasayansi wameeleza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini Trump anatofautiana na majasusi wa Marekani kuhusu chimbuko la virusi

Idara ya intelijensia ya Marekani ilisema haina uhakika jinsi mlipuko ulivyoanza, lakini Trump anadai virusi hivyo vilitengenezwa katika maabara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chemotherapy 'inaamsha' virusi vya HIV

Chemotherapy ,matibabu yanayopewa wagonjwa wa Saratani, yanalazimisha virusi vya HIV kuondoka katika maficho yao mwilini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Virusi vya HIV vyapungua nguvu

Utafiti mkubwa wa kisayansi umeonyesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi vya HIV, vinapungua makali yake

 

9 years ago

Bongo5

Wanasayansi watengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya HIV, Hepatitis na mafua

Wanasayansi wametengeneza dawa kutumia ndizi zinazoweza kuua virusi vya aina mbalimbali vikiwemo vya HIV, Hepatitis na mafua. Inatumainiwa kuwa dawa hivyo mpya inaweza kuwa na muhimu katika kupambana na virusi vingi hatari. Dawa hiyo iligundulika miaka mitano iliyopita na kuaminika kuwa tiba ya virusi vya HIV lakini ilisababisha madhara ambayo wanasayansi sasa wamekabiliana nayo. Dawa […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kuvuta maji ya choo 'kunaweza kurusha virusi vya maambukizi futi 3 hewani'

Kusukuma maji ya choo cha ndani kunaweza kusababisha wingu ambalo la sprey ambalo linaweza kuvutwa kwa pua na linaweza kusambaza maambukizi, kama vile virusi vya corona, wanasema watafiti.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: India yakataa vifaa vya kupima virusi hivyo kutoka China

India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''vina dosari''.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama

Mamia ya wafanyakazi wamepatikana na virusi vya corona katika makapuni ya kutengeneza nyama na machinjioni

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?

Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani