Kitindamimba familia ya Rais Kikwete ataka ubunge B’moyo
>Makada wawili wa CCM wilayani Bagamoyo, wameonyesha nia ya kuingia kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo hilo kupambana na mbunge wa sasa, Dk Shukuru Kawambwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-1536x864.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lbNEL4OFfR4/XuzPqOJVwOI/AAAAAAAAz24/r6N4k_5jqjEyffGBcxpk9d7TUe-TUcJ-wCLcBGAsYHQ/s400/F87A4658-2-1536x864.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SGJ4d8t1fvA/XuzPqflRA_I/AAAAAAAAz28/m_D2vvNAJ3Y1jKM40IHqmpZqR0LREiujQCLcBGAsYHQ/s400/F87A4665-2-1536x812.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xr6egQLO03E/Xu3iclFekyI/AAAAAAALuuc/NcwzsJ0L9vcfMukh8rR2X3LIvtSLT3SdwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4658-2-2048x1152.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakimjulia hali na kumfariji Mjane wa marehemu Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi Bibi Rev Denise Nkurunziza wakati alipofika nyumbani kwa marehemu Nkurunziza Jijini Bujumbura Nchini Burundi jana jioni kwa...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA NA RAIS MSTAAFU AWAMU YA NNE DKT. KIKWETE WAIFARIJI FAMILIA YA NKURUNZIZA BURUNDI
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Ya Dodoma yasikuvunje moyo — Mzee Msuya amwambia Rais Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri mkuu Mstaafu mzee Cleopa David Msuya. (Picha na Maktaba).
Waziri Mkuu na Makamu wa Rais Mstaafu, Mheshimiwa Cleopa David Msuya amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya na amemshauri kutokuvunjwa moyo na kile ambacho amekielezea kama “mambo madogo madogo” yanayoendelea ndani ya Bunge Maalum la Katiba.
Aidha, Mzee Msuya amesema kuwa Rais Kikwete hatasahauliwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lc69XoeI48A/VVTG_9hDWvI/AAAAAAAHXUk/UOaEl3cBrLA/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Rais Kikwete wapngeza Madktari Bingwa wa Moyo kwa upasuaji
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lc69XoeI48A/VVTG_9hDWvI/AAAAAAAHXUk/UOaEl3cBrLA/s640/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FV8uC0-QXc8/VVTG_6BpyYI/AAAAAAAHXUo/IMFxXYYyuhw/s640/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...
5 years ago
Michuzi10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SFZzv1I3PRI/default.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU JOHN KOMBA