Ya Dodoma yasikuvunje moyo — Mzee Msuya amwambia Rais Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri mkuu Mstaafu mzee Cleopa David Msuya. (Picha na Maktaba).
Waziri Mkuu na Makamu wa Rais Mstaafu, Mheshimiwa Cleopa David Msuya amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya na amemshauri kutokuvunjwa moyo na kile ambacho amekielezea kama “mambo madogo madogo” yanayoendelea ndani ya Bunge Maalum la Katiba.
Aidha, Mzee Msuya amesema kuwa Rais Kikwete hatasahauliwa kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7Cn9ebi4iYw/U5XUqFJIFyI/AAAAAAAFpLM/CEwN9msyvP0/s72-c/16.jpg)
RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-7Cn9ebi4iYw/U5XUqFJIFyI/AAAAAAAFpLM/CEwN9msyvP0/s1600/16.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KVXjmxkPmM/U5XUplUezCI/AAAAAAAFpLI/rz-rCnDTMfU/s1600/17.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UjNnWqonmuI/U5XWQy_pcAI/AAAAAAAFpP4/-ElXwHuRzVk/s1600/_5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwrGe28cIOU/U5XWQZ_LE-I/AAAAAAAFpPw/1rkRJa3Ip8s/s1600/_4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 May
Rais Kikwete amteua Diwani Msuya kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya (pichani), kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
![](http://3.bp.blogspot.com/-cra3smLrxF8/VQ66_nz5wRI/AAAAAAAHMLg/sSM1SlTy3Ys/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0pRN5HFuA0/VQ66_UT049I/AAAAAAAHMLc/khLtmIT_i0g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X422Ur7jOR4/VQ67A4qaJQI/AAAAAAAHMLs/dr0qghe3iko/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Kitindamimba familia ya Rais Kikwete ataka ubunge B’moyo
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lc69XoeI48A/VVTG_9hDWvI/AAAAAAAHXUk/UOaEl3cBrLA/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Rais Kikwete wapngeza Madktari Bingwa wa Moyo kwa upasuaji
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lc69XoeI48A/VVTG_9hDWvI/AAAAAAAHXUk/UOaEl3cBrLA/s640/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FV8uC0-QXc8/VVTG_6BpyYI/AAAAAAAHXUo/IMFxXYYyuhw/s640/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...