Kituo cha afya Chanika kupanuliwa
KITUO cha afya cha Chanika jijini Dar es Salaam kinatarajiwa kuwa hospitali kubwa Tanzania yenye kutoa huduma za afya ya mama na mtoto baada ya kukamilika kwa upanuzi wa ujenzi wake unaogharamiwa na Serikali ya watu wa Korea ya Kusini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXJZU3SzPSeOlkXD8UVn5VFOw55PsUy6pSo9j3gdPge4xj99dou-Zkvrh0vKkBsXhIRBQG2P1DQpvMOet14VqReB/MISAADA1.jpg?width=650)
LYALAMO FAMILY WATOA MISAADA KITUO CHA YATIMA GROUP TRUST FUND KILICHOPO CHANIKA, DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s72-c/IMG_7153.jpg)
KINANA ASHTUSHWA NA MAKUSUDI YA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA KITUO CHA AFYA CHA INYONGA,WILAYA YA MLELE-KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s1600/IMG_7153.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VHIeKghZ0TQ/U07VRQykrMI/AAAAAAACfAs/bKc1G7bG9Xk/s1600/IMG_7164.jpg)
11 years ago
Habarileo18 Feb
Kituo kilichosababisha daladala kugoma kupanuliwa
BAADA ya Kamati ya Usafirishaji ya Jiji la Mwanza kutembelea kituo cha daladala cha Buzuruga kinachodaiwa kuwa chanzo cha mgomo wa huduma ya usafiri juzi jijini hapa, Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroad ) Mkoa wa Mwanza umeridhia kufanya upanuzi wa kituo hicho.
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA WAGONJWA WA MARADHI YA KIPIDUPINDU KATIKA KITUO CHA AFYA KARAKANA
9 years ago
Michuzi20 Dec
NAIBU WAZIRI WA AFYA ATEMBELEA KITUO CHA AFYA MIWANI KUONA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO KITUONI HAPO.
![x5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x5.jpg)
![x4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x4.jpg)
![x6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UPk19fQjvRY/XvRWbJRN4OI/AAAAAAALvU0/cU550e8Db4MGSstuKdaq6-zHVj-i2ku9wCLcBGAsYHQ/s72-c/Cd067Y7WIAAoQWB.jpg)
KITUO CHA AFYA CHA MAPERA KIMEPATA GARI LA KUBEBEA WAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPk19fQjvRY/XvRWbJRN4OI/AAAAAAALvU0/cU550e8Db4MGSstuKdaq6-zHVj-i2ku9wCLcBGAsYHQ/s640/Cd067Y7WIAAoQWB.jpg)
KITUO cha Afya Mapera kilichopo katika Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma, kimepata gari la wagonjwa(Ambulance) iliyonunuliwa na Halmashauri hiyo ili kurahisisha usafiri kwa wagonjwa watakohitaji na kupewa rufaa kwenda Hospitali ya wilaya Mbinga na Rufaa ya mkoa Songea.
Akikabidhi gari hilo kwa Mganga Mkuu wa kituo cha Afya Mapera,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbinga Juma Mnwele alisema, gari hilo limetokana na ahadi iliyotolewa na Waziri Mkuu...