Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kivumbi

JUMAPILI ijayo itahitimisha safari ya siku 64 za kampeni za Uchaguzi Mkuu ambazo zimekuwa na hama

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kivumbi Uchaguzi Serikali za Mitaa

Watanzania leo wanaingia kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofunikwa na malalamiko kadhaa ya ukiukwaji wa kanuni, huku chama tawala CCM na wapinzani wakitambiana kushinda.

 

11 years ago

Mwananchi

Uhuru Marathon kivumbi leo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ataongoza wabunge 84 katika mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika leo kwenye Viwanja wa Leaders Club

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tikisa Dansi kivumbi leo

MAKUNDI saba yaliyoingia hatua ya robo fainali ya shindano la kucheza muziki liitwalo Dance Battling, leo usiku yataonyeshana umahiri wa kucheza miondoko mbalimbali katika shoo ya nguvu itakayofanyika katika Ukumbi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kivumbi kijacho baada ya uchaguzi

NINAYAANDIKA makala haya nikiwa gizani.Giza totoro lenye kunitotora akili.

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Mwananchi

Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM

Hiki ni kivumbi. Kati ya wagombea 42 waliojitokeza kuwania urais kupitia CCM, anatakiwa kubaki mmoja tu na mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu unafungwa kesho.

 

10 years ago

Mtanzania

Kivumbi AFCON kuanza leo

AFCONMALABO, EQUATORIAL GUINEA
MICHUANO ya kuwania Kombe la Mataifa Afrika (AFCON), inatarajia kuanza leo katika Uwanja wa Bata nchini Guinea ya Ikweta huku wenyeji wakifungua michuano hiyo dhidi ya Congo.
Guinea ya Ikweta watawakaribisha Congo katika Uwanja wa Estadio de Bata wakitumia mfumo wao wa 4-2-3-1.
Kocha wa timu hiyo, Esteban Becker raia wa Argentina, amejipa matumaini ya ushindi katika mchezo huo kutokana na uzoefu wake huku akiamini kuwa ana nafasi kubwa kwa kuwa yupo nyumbani na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni kivumbi ligi ya mabingwa Ulaya

Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya itaendelea jumanne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kivumbi leo AFCON,Wababe dimbani

Tembo wa Ivory Cost na Tembo wa Taifa wa Guinea,Mali na Cameroon kuvaana leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya ikweta,Burkina Faso kivumbi

Guinea ya Ikweta na Burkina Faso,Congo na Gabon kukipiga Uwanja wa Bata

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani