Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kivumbi leo AFCON,Wababe dimbani

Tembo wa Ivory Cost na Tembo wa Taifa wa Guinea,Mali na Cameroon kuvaana leo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kivumbi AFCON kuanza leo

AFCONMALABO, EQUATORIAL GUINEA
MICHUANO ya kuwania Kombe la Mataifa Afrika (AFCON), inatarajia kuanza leo katika Uwanja wa Bata nchini Guinea ya Ikweta huku wenyeji wakifungua michuano hiyo dhidi ya Congo.
Guinea ya Ikweta watawakaribisha Congo katika Uwanja wa Estadio de Bata wakitumia mfumo wao wa 4-2-3-1.
Kocha wa timu hiyo, Esteban Becker raia wa Argentina, amejipa matumaini ya ushindi katika mchezo huo kutokana na uzoefu wake huku akiamini kuwa ana nafasi kubwa kwa kuwa yupo nyumbani na...

 

9 years ago

Habarileo

Stars kushuka dimbani leo

TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo inatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya vijana ya Afrika Kusini chini ya umri wa miaka 23 ‘Amaglug- glug’ na kocha Charles Mkwasa amesema ana imani mechi hiyo itakuwa kipimo kikubwa kwa timu yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika Yanga watawakabili BDF XI huko Gaborone, Botswana

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahariri, Waandishi Mtwara dimbani leo

KLABU ya Waandishi wa Habari Mtwara (MTPC), juzi imekabidhiwa jezi na mpira kwa ajili ya mechi ya kirafiki kati ya Jukwaa la Wahariri na  wanahabari wa Mtwara, mechi itakayochezwa leo...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba dimbani leo, City yatulizwa

Baada ya kupokea vipigo wiki iliyopita, Simba na Ruvu Shoooting leo zinakutana katika mechi ya Ligi Kuu Bara itakayochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba, Gor Mahia dimbani leo

Simba inashuka uwanjani leo kuikabili Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku ikiwakosa wachezaji wake sita walio katika vikosi vya timu za Taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea Paris St Germany dimbani leo UEFA

Chelsea itashuka katika dimba lake la Stamford Bridge kuwakaribisha Paris St Germany katika mchezo wa klabu bigwa ulaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tikisa Dansi kivumbi leo

MAKUNDI saba yaliyoingia hatua ya robo fainali ya shindano la kucheza muziki liitwalo Dance Battling, leo usiku yataonyeshana umahiri wa kucheza miondoko mbalimbali katika shoo ya nguvu itakayofanyika katika Ukumbi...

 

11 years ago

Mwananchi

Uhuru Marathon kivumbi leo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ataongoza wabunge 84 katika mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika leo kwenye Viwanja wa Leaders Club

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani