Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Appiah kuaga Black Stars

Kocha wa timu ya taifa ya Ghana Kwesi Appiah, ameacha kazi kama kocha wa timu ya taifa baadaya kukubaliana na shirikisho hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Appiah backs Black Stars on bonuses

Former Ghana captain Stephen Appiah says the current Black Stars players fully deserve everything they earn.

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

10 years ago

BBC

Black Stars vow to bounce back

Ghana defender Jonathan Mensah says they are determined to turn things around when they face Algeria on Friday.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Elephants and Black Stars gear up for final

BBC Sport's Piers Edwards meets Ivory Coast and Ghana fans ahead of Sunday's 2015 Africa Cup of Nations final.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Posho yazua utata Black Stars

Ghana iko katika hali ngumu ya kujikwamua kiuchumi katika kambi yao nchini Brazil na inatakiwa kumaliza tatizo hilo kabla ya kuivaa Ujerumani katika mchezo wa Kundi G wa Kombe la Dunia mjini Fortaleza Jumamosi.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Black Stars show the importance of academies

>The Ghanaian national soccer team, the Black Stars, on Saturday night made Africa proud when they earned a well, deserved two all draw against the crack Germans. Black Stars’ position in the on-going Fifa World Cup tournament in Brazil, however still remains precarious as they have only one point having lost the first game against the US.

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngasa amkera kocha Stars

WAKATI msafara wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ukitarajiwa kurejea nchini kesho ukitokea kambini nchini Botswana, kuna habari kuwa Kocha Mart Nooij, amemtema mshambuliaji Mrisho Ngasa kwa utovu...

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni kocha Kili Stars

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani