Krismasi ni Escrow kila kona
Kashfa ya uchotaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow inayoendelea kulitingisha Taifa, jana ilitawala mahubiri ya Sikukuu ya Krismasi katika makanisa mbalimbali nchini, viongozi wa dini wakionyesha kutoridhishwa na maelezo na hatua zinazochukuliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Kila kona wataka ‘watuhumiwa’ escrow wafilisiwe
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Lowassa kila kona
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Majanga kila kona
10 years ago
Habarileo08 May
Mafuriko kila kona
MVUA kubwa iliyonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia juzi, imesababisha mafuriko na kuua watu watatu, kuharibu nyumba kadhaa na miundombinu ya barabara na maji katika sehemu mbalimbali.
11 years ago
GPLCHAMPIONI KILA KONA
9 years ago
Habarileo17 Oct
Filikunjombe vilio kila kona
MGOMBEA ubunge wa CCM katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Deo Filikunjombe amekufa katika ajali ya helikopta iliyotokea mkoani Morogoro juzi.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Kila kona ni Samatta, Ulimwengu
11 years ago
Habarileo13 May
Homa ya dengue kila kona
WAKATI watu 400 wakithibitika kuwa na ugonjwa wa homa ya dengue, huku wengine watatu wakifariki dunia, Serikali imetoa taarifa kuhusu dalili za ugonjwa huo na namna inavyokabiliana nao. Mbali na kutoa taarifa hizo, Rais Jakaya Kikwete amewataka Watanzania popote walipo, wakipata dalili hizo, wasinywe dawa hovyo, badala yake waende kupima hospitali na kufuata ushauri wa kitaalamu.