Kudorora elimu kwabadili mwelekeo wa shule nchini
Itakumbukwa kuwa, katika mtihani wa kuhitimu Kidato cha Nne Mwaka 2O08, ufaulu kwa daraja la kwanza mpaka la nne ulikuwa asilimia 75.8.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Elimu ya hedhi itolewe kuanzia ngazi ya shule za msingi nchini
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WE4la1lcw68/UxiPKaoiZAI/AAAAAAACbt0/tpOoRJsyJ8I/s72-c/maabara+ya+komputa+fbayi.jpg)
SHULE BINAFSI NA MCHANGO WAKE WA PEKEE KATIKA SEKTA YA ELIMU HAPA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-WE4la1lcw68/UxiPKaoiZAI/AAAAAAACbt0/tpOoRJsyJ8I/s1600/maabara+ya+komputa+fbayi.jpg)
Hiyo imefanya serikali kuchagua wale wenye uelewa wa juu pekeekujiunga na shuleza elimu ya juu, huku wale ambao pengine kwa bahatimbaya wamekwama kufikia alama zilizowekwa na serikali, wakiokolewa nashule binafsi.
Hii imesaidia idadi kubwa ya watoto nchini kupata elimu ya sekondaritofauti na miaka ya nyuma ambapo watoto wengi waliokuwa...
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Sera ya elimu ni mwelekeo mpya wa mafanikio
Na Markus Mpangala
TANGU kutangazwa kwa mpango mpya wa elimu kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na suala hilo. Baadhi walikuwa wakishangazwa na mpango huo lakini wakakosa hoja za msingi kukosoa zaidi ya malalamiko ya kawaida na yaliyozoeleka.
Wakosoaji hawajatoa njia mbadala wala hawataki kuona mambo mazuri yaliyobuniwa. Binafsi ninadhani ni sahihi kubadili muundo wa elimu ambao kwa namna moja ama nyingine unatusaidia kuendelea kutumia nguvu za ujana kwa kutafuta maarifa zaidi kuliko...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Sura na mwelekeo mpya wa elimu Tanzania
9 years ago
StarTV19 Nov
Wizara ya elimu nchini yaombwa kuangalia upya mitaala ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari
Wizara ya elimu nchini imeombwa kuangalia upya mitalaa ya kufundishia wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili iwe na uhusiano na mazingira halisi ya Watanzania.
Elimu inayotolewa sasa imekuwa ikilalamikiwa kuwa haimwezeshi mwanafunzi kumudu mazingira yanayomzunguka na badala yake inamsaidia kufaulu kutoka darasa moja kwenda jingine.
Katika mkutano huo Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, Dokta Fidelis Mafumiko ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika mkutano wa kufunga...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA (CORONA COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kufunga shule zote za Awali, Msingi, Sekondari, Vyuo na taasisi za elimu nchini. Kutokana na takwimu za mwenendo wa ugonjwa huu nchini kwa sasa kuonyesha kupungua kwa maambukizi ya Virusi vya Corona, mnamo...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanafunzi 70 wapoteza mwelekeo wa shule baada ya bomoabomoa Dar
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CWrN_zGpowE/Xt9ZuGgT1zI/AAAAAAALtJo/nLdi_CaTmpo6kZF7UfuVn5oxCPXyVjBpgCLcBGAsYHQ/s72-c/TMA.jpg)
TMA YATOA MWELEKEO WA HALI YA HEWA MSIMU WA KIPUPWE NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-CWrN_zGpowE/Xt9ZuGgT1zI/AAAAAAALtJo/nLdi_CaTmpo6kZF7UfuVn5oxCPXyVjBpgCLcBGAsYHQ/s400/TMA.jpg)
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi mwelekeo wa hali ya hewa wa msimu wa kipupwe nchini, kwa Mwezi Juni hadi Agosti 2020 na kusema kuwa mwaka huu kutakuwa na vipindi vya upepo mkali wa kusi na hali ya ukavu katika maeneo mengi ya nchini.
Pia mamlaka imesema, vipindi vya baridi kali vinatarajiwa kuwepo katika msimu huu katika maeneo ya miinuko ya nyanda za juu kusini magharibi hususan nyakati za usiku na na asubuhi.
Akizungumzia msimu huo,...
10 years ago
Michuzi05 Sep