Sura na mwelekeo mpya wa elimu Tanzania
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa. Baada ya kimya kirefu, Serikali imekata kiu na shauku ya wadau wa elimu kwa kuzindua rasmi sera ya elimu na mafunzo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Sera ya elimu ni mwelekeo mpya wa mafanikio
Na Markus Mpangala
TANGU kutangazwa kwa mpango mpya wa elimu kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na suala hilo. Baadhi walikuwa wakishangazwa na mpango huo lakini wakakosa hoja za msingi kukosoa zaidi ya malalamiko ya kawaida na yaliyozoeleka.
Wakosoaji hawajatoa njia mbadala wala hawataki kuona mambo mazuri yaliyobuniwa. Binafsi ninadhani ni sahihi kubadili muundo wa elimu ambao kwa namna moja ama nyingine unatusaidia kuendelea kutumia nguvu za ujana kwa kutafuta maarifa zaidi kuliko...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Kudorora elimu kwabadili mwelekeo wa shule nchini
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Mwelekeo mpya
![Mwenyekiti wa Kamati ya uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, Andrew Chenge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Andrew-Chenge.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, Andrew Chenge
MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA
KAMATI ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba imewasilisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa ikionyesha jinsi ilivyoifumua rasimu iliyowasilishwa bungeni hapa mwanzoni mwa mwaka huu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.
Rasimu hiyo iliwasilishwa bungeni jana na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Andrew Chenge ambapo imeongeza mambo ya muungano kutoka saba...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-V3LyTJ3914A/VA8gr97tPZI/AAAAAAAABo4/YiNRUS5FRMs/s72-c/jk%2B3.jpg)
JK, TCD watoa mwelekeo mpya
Bunge la Katiba kuendelea, UKAWA waridhiaKatiba iliyopo kuboreshwa kwa uchaguzi ujao
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA
KIKAO baina ya Rais Jakaya Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimetoa mwelekeo mpya katika mchakato wa Katiba Mpya.
![](http://2.bp.blogspot.com/-V3LyTJ3914A/VA8gr97tPZI/AAAAAAAABo4/YiNRUS5FRMs/s1600/jk%2B3.jpg)
Katika kikao...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Katiba: Mwelekeo mpya kujulikana leo
10 years ago
Vijimambo14 Feb
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Katiba Mpya imetoa mwelekeo mbaya wa nchi
10 years ago
Michuzi14 Feb