Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBE WASTARA KAZAA NA SOLO THANG

Stori: Joseph Shaluwa IMEBUMBURUKA! Kumbe staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma, aliye mama wa watoto watatu, mmoja kati yao, alizaa na mkongwe katika Bongo Hip Hop, Msafiri Kondo ‘Solo Thang’. Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika kilipasha kuwa Wastara amekaa na siri hiyo moyoni kwa muda mrefu sana. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma. “Mtoto mmoja alizaa na Solo, wakati ule Solo akiwa anatamba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Jay Moe mwalimu aliyenifundisha kurap Kiswahili ni Solo Thang

Rapper wa siku nyingi hapa bongo Jay Moe ambaye anaunda kundi la Wateule hivi karibu alipo kuwa akipiga story na eatv amemshukuru sana swahiba wake Solo Thang kwani ni watu wenye mchango mkubwa kwake alimbadilisha kipindi hicho cha nyuma katika upende wa kuandika mashairi kwa Kiswahili. Jay Moe ansema “solo Thang ni mtu ambaye nilikuwa […]

 

5 years ago

London South East

Solo Oil News Headlines. SOLO Share News. Financial News Articles for Solo Oil Plc Ord 0.20P updated throughout the day.

Solo Oil News Headlines. SOLO Share News. Financial News Articles for Solo Oil Plc Ord 0.20P updated throughout the day.  London South EastSolo Oil looking for another European gas portfolio after North Sea deal falls through  Proactive Investors UKView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Bongo Movies

Kumbe Wastara na Stara Thomas ni Ndugu!

Staa wa Bongo Movies  Wastara Juma leo kupitia ukutrasa wake mtandaoni ametoboa kuwa staa wa Bongo Fleva Wastara Thomas ni ndugu kitu ambacho hata yeye mwenye kimemshangaza.

Wastara alibandika picha hiyo hapo juu ana kuiandikia maelezo haya.

Wastara wa 4,  bibi Stara, mama Stara, dada Stara, mdogo Stara, ilo ndilo jina langu halisi nililopewa na bibi yangu huyu hapo mzaa mama usishangae kumuona Stara tomath hata mimi nilisahangaa jina ilo kalipata wapi lakini maswali yameisha leo baada...

 

9 years ago

Dewji Blog

Travelling solo is easier than you can imagine

solo

Many people across the world travel with companions who make them fully comfortable and relaxed through their trip because they feel secured. The travel companions can range from friends, school mates, workmates to family members who stand as their backup during the tour. This prior experience makes people who have never travelled solo quite frightened when travelling to new destinations, of course there are pros and cons of travelling alone but this shouldn’t be a bottleneck to your solo...

 

11 years ago

BBC

AUDIO: Cheick Tidiane Seck on going solo

Malian musician Cheick Tidiane Seck speaks to BBC Africa's Manuel Toledo about his extraordinary career.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SAID MABELA: Bingwa wa solo aliyevuka mabonde na milima

HAKIKA wahenga walisema: “Ng’ombe hazeeki maini.” Haya maneno yamedhihirika kutoka kwa mpiga solo mkongwe  nchini kutoka Bendi ya Msondo Ngoma,  Said Mussa Mabela, maarufu kama ‘Mzee Mabela’. Licha ya mvi...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Chris Brown Feat. Solo Lucci – Wrist

wrist

Staa wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown ameachia videos mpya nyingine kutoka kwenye album yake ya saba, Royalty.
Baada ya jana 15 December 2015,kutoa video ya “Back to Sleep” leo kaachia video ya ngoma inaitwa “Wrist” na hii pia inapatikana kwenye album mpya ya Chris Brown, “Royalty” itakayotoka siku ya ijumaa December 18 2015.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube...

 

11 years ago

GPL

MPIGA SOLO, HENRY MKANYIA ATEMBELEA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS

Miga gitaa la solo, Henry Mkanyia akifurahia jambo ndani ya studio za Global TV Online leo. Henry Mkanyia katika pozi na baadhi ya wafanyakazi wa Global ndani ya studio za Global TV Online.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani