Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAID MABELA: Bingwa wa solo aliyevuka mabonde na milima

HAKIKA wahenga walisema: “Ng’ombe hazeeki maini.” Haya maneno yamedhihirika kutoka kwa mpiga solo mkongwe  nchini kutoka Bendi ya Msondo Ngoma,  Said Mussa Mabela, maarufu kama ‘Mzee Mabela’. Licha ya mvi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

PAINE J: Msanii aliyevuka milima, mabonde

HAKIKA vijana wamedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika tasnia ya muziki nchini katika hali ya kujiletea maendeleo yao wenyewe, tasnia husika na kuitangaza nchi kimataifa. Katika harakati hizo, kila kona utasikia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde

HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 80: Yanga imevuka milima, mabonde

Young Africans ‘Yanga’ yenye kaulimbiu, ‘Mbele Daima, Nyuma Mwiko’ ni  mabingwa wa kihistoria kwenye Ligi Tanzania Bara, ni timu pekee ya soka inayohusishwa na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika wakati wa utawala wa kikoloni.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 50 ya michezo ya Afrika, Tanzania imepita mabonde, milima

Miaka 50 iliyopita, Tanzania ilishiriki kwa mara ya kwanza michezo ya Afrika, mkimbiaji wa kike wa wakati huo, Theresia Dismas ndiye alikuwa shujaa kwa kuibuka na medali pekee ya fedha ya kurusha mkuki.

 

5 years ago

Michuzi

MAISHA YA MILIMA NA MABONDE YA NGULI WA MUZIKI WA NCHINI MAFUMU BILAL BOMBENGA HADI KIFO KILIPOMKUTA MEI 11 ,2020

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV 
PIGO kubwa limeipata familia ya muziki wa dansi nchini Tanzania baada ya nguli kwenye muziki huo Mafumu Bila Bombenga kufariki dunia jana Mei 11 mwaka huu wa 2020.
Kifo cha mwanamuziki huyo nguli ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupuliza Saxaphone kimeacha majonzi na simanzi kubwa kwa wadau wa muziki huo nchini.
Enzi za uhai wake Mombenga amefanya kazi za muziki katika bendi mbalimbali za muziki wa dansi na hakika amejijengea heshima...

 

5 years ago

London South East

Solo Oil News Headlines. SOLO Share News. Financial News Articles for Solo Oil Plc Ord 0.20P updated throughout the day.

Solo Oil News Headlines. SOLO Share News. Financial News Articles for Solo Oil Plc Ord 0.20P updated throughout the day.  London South EastSolo Oil looking for another European gas portfolio after North Sea deal falls through  Proactive Investors UKView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja  amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Travelling solo is easier than you can imagine

solo

Many people across the world travel with companions who make them fully comfortable and relaxed through their trip because they feel secured. The travel companions can range from friends, school mates, workmates to family members who stand as their backup during the tour. This prior experience makes people who have never travelled solo quite frightened when travelling to new destinations, of course there are pros and cons of travelling alone but this shouldn’t be a bottleneck to your solo...

 

11 years ago

GPL

KUMBE WASTARA KAZAA NA SOLO THANG

Stori: Joseph Shaluwa IMEBUMBURUKA! Kumbe staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma, aliye mama wa watoto watatu, mmoja kati yao, alizaa na mkongwe katika Bongo Hip Hop, Msafiri Kondo ‘Solo Thang’. Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika kilipasha kuwa Wastara amekaa na siri hiyo moyoni kwa muda mrefu sana. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma. “Mtoto mmoja alizaa na Solo, wakati ule Solo akiwa anatamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani