Miaka 80: Yanga imevuka milima, mabonde
Young Africans ‘Yanga’ yenye kaulimbiu, ‘Mbele Daima, Nyuma Mwiko’ ni mabingwa wa kihistoria kwenye Ligi Tanzania Bara, ni timu pekee ya soka inayohusishwa na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika wakati wa utawala wa kikoloni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Miaka 50 ya michezo ya Afrika, Tanzania imepita mabonde, milima
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
PAINE J: Msanii aliyevuka milima, mabonde
HAKIKA vijana wamedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika tasnia ya muziki nchini katika hali ya kujiletea maendeleo yao wenyewe, tasnia husika na kuitangaza nchi kimataifa. Katika harakati hizo, kila kona utasikia...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde
HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
SAID MABELA: Bingwa wa solo aliyevuka mabonde na milima
HAKIKA wahenga walisema: “Ng’ombe hazeeki maini.” Haya maneno yamedhihirika kutoka kwa mpiga solo mkongwe nchini kutoka Bendi ya Msondo Ngoma, Said Mussa Mabela, maarufu kama ‘Mzee Mabela’. Licha ya mvi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfAWy1U7k-0/Xru3p9ZxuLI/AAAAAAALqBc/vd1Ciah8A5II9hcZowgrZmtONheg6OmFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1441.jpg)
MAISHA YA MILIMA NA MABONDE YA NGULI WA MUZIKI WA NCHINI MAFUMU BILAL BOMBENGA HADI KIFO KILIPOMKUTA MEI 11 ,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-FfAWy1U7k-0/Xru3p9ZxuLI/AAAAAAALqBc/vd1Ciah8A5II9hcZowgrZmtONheg6OmFwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1441.jpg)
PIGO kubwa limeipata familia ya muziki wa dansi nchini Tanzania baada ya nguli kwenye muziki huo Mafumu Bila Bombenga kufariki dunia jana Mei 11 mwaka huu wa 2020.
Kifo cha mwanamuziki huyo nguli ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupuliza Saxaphone kimeacha majonzi na simanzi kubwa kwa wadau wa muziki huo nchini.
Enzi za uhai wake Mombenga amefanya kazi za muziki katika bendi mbalimbali za muziki wa dansi na hakika amejijengea heshima...
11 years ago
Habarileo16 Jan
EPZA yasema imevuka malengo yake
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imesema imevuka malengo yake kwa mwaka 2013, hatua iliyotajwa kwamba ni kigezo cha Tanzania kuzidi kufanikiwa katika nyanja ya uwekezaji.
10 years ago
Bongo521 Nov
Video mpya ya Diamond ‘Ntampata Wapi’ imevuka views laki moja Youtube ndani ya saa 24
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Miaka 50, Yanga bingwa mara 25