Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAINE J: Msanii aliyevuka milima, mabonde

HAKIKA vijana wamedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika tasnia ya muziki nchini katika hali ya kujiletea maendeleo yao wenyewe, tasnia husika na kuitangaza nchi kimataifa. Katika harakati hizo, kila kona utasikia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

SAID MABELA: Bingwa wa solo aliyevuka mabonde na milima

HAKIKA wahenga walisema: “Ng’ombe hazeeki maini.” Haya maneno yamedhihirika kutoka kwa mpiga solo mkongwe  nchini kutoka Bendi ya Msondo Ngoma,  Said Mussa Mabela, maarufu kama ‘Mzee Mabela’. Licha ya mvi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde

HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 80: Yanga imevuka milima, mabonde

Young Africans ‘Yanga’ yenye kaulimbiu, ‘Mbele Daima, Nyuma Mwiko’ ni  mabingwa wa kihistoria kwenye Ligi Tanzania Bara, ni timu pekee ya soka inayohusishwa na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika wakati wa utawala wa kikoloni.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 50 ya michezo ya Afrika, Tanzania imepita mabonde, milima

Miaka 50 iliyopita, Tanzania ilishiriki kwa mara ya kwanza michezo ya Afrika, mkimbiaji wa kike wa wakati huo, Theresia Dismas ndiye alikuwa shujaa kwa kuibuka na medali pekee ya fedha ya kurusha mkuki.

 

5 years ago

Michuzi

MAISHA YA MILIMA NA MABONDE YA NGULI WA MUZIKI WA NCHINI MAFUMU BILAL BOMBENGA HADI KIFO KILIPOMKUTA MEI 11 ,2020

Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV 
PIGO kubwa limeipata familia ya muziki wa dansi nchini Tanzania baada ya nguli kwenye muziki huo Mafumu Bila Bombenga kufariki dunia jana Mei 11 mwaka huu wa 2020.
Kifo cha mwanamuziki huyo nguli ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupuliza Saxaphone kimeacha majonzi na simanzi kubwa kwa wadau wa muziki huo nchini.
Enzi za uhai wake Mombenga amefanya kazi za muziki katika bendi mbalimbali za muziki wa dansi na hakika amejijengea heshima...

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni lasitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa

DSC_5240

Baadhi ya wakazi wa mabonde ya Kinondoni wakiwa katika maeneo ya Mahakama Kuu ya Ardhi

Modewjiblog team

Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni limesitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa katika mahakama kuu ya ardhi.

Jaji wa mahakama kuu ya ardhi amemtaka wakili wa walalamikaji kuwasilisha mapema orodha ya walalamikaji wote 674 na majina yao kamili,anuani za makazi na nyumba zao na kisha shauli hilo litafikishwa Jumatatu, 11 January kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji waanza kupasua milima

Samunge. Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika kijiji cha Mgongo, kata ya Samunge wilayani Ngorongoro wameanza kupasua milima iliyopo katika kijiji hicho kusaka dhahabu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sasa malaria yakwea milima.

Viwango vya maambukizi katika maeneo ya nyanda za juu vimeongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.

 

9 years ago

Habarileo

RC azuia kilimo kwenye milima

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani