PAINE J: Msanii aliyevuka milima, mabonde
HAKIKA vijana wamedhamiria kuleta mageuzi makubwa katika tasnia ya muziki nchini katika hali ya kujiletea maendeleo yao wenyewe, tasnia husika na kuitangaza nchi kimataifa. Katika harakati hizo, kila kona utasikia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
SAID MABELA: Bingwa wa solo aliyevuka mabonde na milima
HAKIKA wahenga walisema: “Ng’ombe hazeeki maini.” Haya maneno yamedhihirika kutoka kwa mpiga solo mkongwe nchini kutoka Bendi ya Msondo Ngoma, Said Mussa Mabela, maarufu kama ‘Mzee Mabela’. Licha ya mvi...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde
HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Miaka 80: Yanga imevuka milima, mabonde
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Miaka 50 ya michezo ya Afrika, Tanzania imepita mabonde, milima
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FfAWy1U7k-0/Xru3p9ZxuLI/AAAAAAALqBc/vd1Ciah8A5II9hcZowgrZmtONheg6OmFwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1441.jpg)
MAISHA YA MILIMA NA MABONDE YA NGULI WA MUZIKI WA NCHINI MAFUMU BILAL BOMBENGA HADI KIFO KILIPOMKUTA MEI 11 ,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-FfAWy1U7k-0/Xru3p9ZxuLI/AAAAAAALqBc/vd1Ciah8A5II9hcZowgrZmtONheg6OmFwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1441.jpg)
PIGO kubwa limeipata familia ya muziki wa dansi nchini Tanzania baada ya nguli kwenye muziki huo Mafumu Bila Bombenga kufariki dunia jana Mei 11 mwaka huu wa 2020.
Kifo cha mwanamuziki huyo nguli ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wake wa kupuliza Saxaphone kimeacha majonzi na simanzi kubwa kwa wadau wa muziki huo nchini.
Enzi za uhai wake Mombenga amefanya kazi za muziki katika bendi mbalimbali za muziki wa dansi na hakika amejijengea heshima...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Breaking News: Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni lasitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa
Baadhi ya wakazi wa mabonde ya Kinondoni wakiwa katika maeneo ya Mahakama Kuu ya Ardhi
Modewjiblog team
Zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa mabonde ya Kinondoni limesitishwa mpaka kesi ya msingi itakaposikilizwa katika mahakama kuu ya ardhi.
Jaji wa mahakama kuu ya ardhi amemtaka wakili wa walalamikaji kuwasilisha mapema orodha ya walalamikaji wote 674 na majina yao kamili,anuani za makazi na nyumba zao na kisha shauli hilo litafikishwa Jumatatu, 11 January kwa ajili ya kupangiwa tarehe ya...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Wachimbaji waanza kupasua milima
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Sasa malaria yakwea milima.
9 years ago
Habarileo04 Oct
RC azuia kilimo kwenye milima
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amepiga marufuku wananchi kulima juu ya milima. Galawa alitoa agizo hilo juzi katika kijiji cha Miganga kilichopo wilaya ya Chamwino wakati alipotembelea mradi wa majiko banifu yanayosaidia kutunza mazingira.