Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sasa malaria yakwea milima.

Viwango vya maambukizi katika maeneo ya nyanda za juu vimeongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Yanga yakwea kileleni

2NA OSCAR ASSENGA, TANGA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wamekwea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo, baada ya kuifunga bao 1-0 timu ya African Sports katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Bao hilo lilifungwa katika dakika 90 ya mchezo huo kupitia kwa Thabani Kamusoko, baada ya kupokea pasi ya Donald Ngoma hivyo kuifanya Yanga kushika usukani wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi 27 huku Azam FC wakishika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 26.

Yanga walianza mchezo huo kwa kasi ambapo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yakwea nafasi ya tatu

Manchester United ilikwea hadi nafasi ya tatuLigi Kuu ya England baada ya kuwaadhibu wapinzani wao Southampton magoli 2 - 1.

 

10 years ago

Dewji Blog

Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One

novartis

-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria

-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia

-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001

Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...

 

9 years ago

Vijimambo

Simba yakwea pipa 'kukwepa ndumba'

Kikosi cha Simba kinatarajia kutua Tanga leo kwa usafiri wa ndege kwa ajili ya mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya African Sports, huku uvumi wa imani za kishirikina ukikizunguka.

Simba itawavaa African Sports kwenye Uwanja wa Mkwakwani Jumamosi, ikitokea moja kwa moja Unguja, Zanzibar ilikokuwa imeweka kambi.

Hata hivyo, habari zilizopatikana kutoka ndani ya klabu hiyo zimeeleza kuwa, maamuzi ya kuisafirisha timu hiyo kwa kutumia usafiri wa anga, ni kwa lengo la...

 

11 years ago

GPL

MAN CITY YAKWEA KILELENI ENGLAND

London, England
NEWCASTLE United jana walishindwa kuuzuia muziki wa Manchester City kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 kwenye Uwanja wa St James. Ushindi huu umewafanya City kuongoza ligi hiyo kwa tofauti ya pointi moja dhidi ya Chelsea inayoshika nafasi ya pili baada ya kujikusanyia pointi 47 kati ya 46 za Chelsea. Hata hivyo, Arsenal ambayo inacheza leo Jumatatu na Aston Villa inaweza...

 

11 years ago

Michuzi

Malaria Course Ifakara 2014 (English) Capacity Building Course in Malaria Control Programs, with a focus on e-learning September 14th to October 11th 2014

Organised jointly by the Tanzanian Training Centre for International Health, Ifakara, Tanzania, and the Swiss Tropical and Public Health Institute with the financial support of the Impact malaria, a Sanofi Access to Medicines program and the Swiss Agency for Development and Cooperation, the Malaria course is a tutorial that is aimed at strengthening competence of researchers, public health personnel and care givers to fight Malaria in Africa. Participants are taught how to conduct...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yakwea pipa kutumbuiza Oman, yawaomba radhi mashabiki wake Dar

10494817_372473116244006_3617867818539775125_n

Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman.

Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya Ijumaa  tarehe 10/10/2014  watakuwepo Thai Village pamoja na...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAKWEA PIPA KUTUMBUIZA OMAN, YAWAOMBA RADHI MASHABIKI WAKE DAR‏

Uongozi wa Skylight Band unawaomba radhi mashabiki wake wa Dar es Salaam kwa kutokuwepo nchini kwa ajili ya kutoa burudani jioni ya leo kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki pamoja na siku ya Jumapili kwenye Skylight Sunday Bonanza katika kiota cha maraha Escape One kutokana na kupata mwaliko wa kutumbuiza nchini Oman. Skylight Band watarejea nyumbani wiki ijayo na kuendelea na ratiba zao kama kawaida ambapo siku ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani