Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAN CITY YAKWEA KILELENI ENGLAND

London, England
NEWCASTLE United jana walishindwa kuuzuia muziki wa Manchester City kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 kwenye Uwanja wa St James. Ushindi huu umewafanya City kuongoza ligi hiyo kwa tofauti ya pointi moja dhidi ya Chelsea inayoshika nafasi ya pili baada ya kujikusanyia pointi 47 kati ya 46 za Chelsea. Hata hivyo, Arsenal ambayo inacheza leo Jumatatu na Aston Villa inaweza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Yanga yakwea kileleni

2NA OSCAR ASSENGA, TANGA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wamekwea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo, baada ya kuifunga bao 1-0 timu ya African Sports katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Bao hilo lilifungwa katika dakika 90 ya mchezo huo kupitia kwa Thabani Kamusoko, baada ya kupokea pasi ya Donald Ngoma hivyo kuifanya Yanga kushika usukani wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi 27 huku Azam FC wakishika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 26.

Yanga walianza mchezo huo kwa kasi ambapo...

 

9 years ago

Mtanzania

Man City kuendelea kukaa kileleni leo?

1344210-28878056-1600-900MANCHESTER, ENGLAND

MICHUANO ya Ligi Kuu nchini England inatarajia kuendelea leo katika viwanja mbalimbali, huku Stoke City wakiwa kwenye uwanja wa nyumbani na kuwakaribisha vinara wa michuano hiyo, Manchester City.

Huu ni mchezo ambao utatazamwa sana kutokana na nafasi hiyo ambayo inashikiliwa na Manchester City ikiwa ipo sawa na Leicester City, wote wakiwa na alama 29 katika msimamo wa Ligi, wakitofautiana mabao.

Mchezo huu Man City watautolea macho ili waweze kuondoka na alama tatu na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City yaongoza ligi kuu England

Klabu ya Manchester City yashika usukani kwenye jedwali la msimamo wa ligi kuu Egland kwa ushindi wa mabao 5-1 dhidi Tottenham.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yakwea nafasi ya tatu

Manchester United ilikwea hadi nafasi ya tatuLigi Kuu ya England baada ya kuwaadhibu wapinzani wao Southampton magoli 2 - 1.

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND

Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Manchester City warejea kileleni EPL

Manchester City wamerejea kileleni Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City.

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Rui Pinto: The man who exposed Man City ahead of their Champions League ban

Rui Pinto: The man who exposed Man City ahead of their Champions League ban  GIVEMESPORTOpinion: Juventus to Manchester United – Possible landing spots for Pep Guardiola when he leaves Man City  CaughtOffsideWhat now for Guardiola and Man City stars after Champions League ban?  Goal.comMan City could be forced to play in League Two after Champions League ban  GIVEMESPORTLiverpool legend says Reds won’t be able to go the entire season unbeaten  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Sir Alex Ferguson cannot hide his delight after Man Utd beat Man City

Sir Alex Ferguson cannot hide his delight after Man Utd beat Man City  Mirror OnlineManchester United's derby win shows the swagger is back  The Peoples PersonOpinion: Three signings who would transform Man United into title contenders next season  CaughtOffsideSky Sports pundit: What I really think of Bruno Fernandes at Man United  The Sport ReviewMan United midfielder Bruno Fernandes shushed Pep Guardiola in 2-0 win vs Man City  GIVEMESPORTView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani