Wachimbaji waanza kupasua milima
Samunge. Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika kijiji cha Mgongo, kata ya Samunge wilayani Ngorongoro wameanza kupasua milima iliyopo katika kijiji hicho kusaka dhahabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Jun
LOWASSA AZIDI KUPASUA ANGA
NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameingia visiwani Zanzibar na kupokewa kwa maandamano makubwa ya wana CCM.
Lowassa aliwasili Zanzibar juzi akitokea jijini Mwanza, ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini wa kumdhamini ili agombee urais kupitia CCM.
Lowassa na ujumble wake waliingia Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume saa 1:30 jioni, ambapo alipokewa kwa shangwe na wana CCM, vikundi vya ngoma, waendesha...
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Filamu za Kibongo za Zidi Kupasua Anga!
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi ughaibuni kushea nasi kile alichokutana nacho akiwa ndani ya ndege.
"I was very happy hivi karibuni wakati nasafiri ndani ya Emirates kukutana na hii .BongoMovie ..MkeMchafu humo ndani ninaemjua ni Johari Chagula pekee yake . but lengo lakuleta hapa ni kuwapongeza sana maana ni hatua nzuri and I...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
Kizungumkuti kura ya maoni:AG kupasua jipu
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Frederick%20Werema-October16-2014.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, aliliambia NIPASHE jana kuwa ataweka bayana msimamo wa serikali leo ili kuzima mkanganyiko uliojitokeza kuhusiana na lini kura hiyo itapigwa.
Mkanganyiko huo unafuatia Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania...
9 years ago
Habarileo21 Oct
JK azindua kiwanda cha kupasua kokoto B’moyo
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kiwanda cha kupasua kokoto za ukubwa mbalimbali kwa wastani wa meta za ujazo 2,000 kwa siku katika kijiji cha Pongwe, Msungura wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HGfk4Qeb1mU/U18q8dAGwSI/AAAAAAAFd2s/ZhuJIBDFEPE/s72-c/unnamed+(57).jpg)
idhaa ya kiswahili ya Umoja wa Mataifa yazidi kupasua anga
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7tUxzh_2kqY/U0WCixN1wTI/AAAAAAAFZjw/T6wrE49YE_o/s72-c/IMG_2447.jpg)
MRISHO MPOTO AZIDI KUPASUA ANGA NA MJOMBA BAND
![](http://3.bp.blogspot.com/-7tUxzh_2kqY/U0WCixN1wTI/AAAAAAAFZjw/T6wrE49YE_o/s1600/IMG_2447.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-amuGNO6QU24/U0WCk7JlUII/AAAAAAAFZj4/YUmQCHXKrY4/s1600/IMG_2535.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/YOUXnkGcOW8/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HtrSSewJoIM/U4t_N-AH_JI/AAAAAAACiqY/Logt5OaEGqk/s72-c/9.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AUNGURUMA ORKESUMENT SIMANJIRO, LEO KUPASUA MERERANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-HtrSSewJoIM/U4t_N-AH_JI/AAAAAAACiqY/Logt5OaEGqk/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hetmF0CORYo/U4tp5QqCJLI/AAAAAAACipA/leQnOtYp0B4/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pwVVnsMKDN0/U4tp4NY8roI/AAAAAAACio4/fsdK-4p8r9k/s1600/15.jpg)
10 years ago
Bongo Movies01 Feb
JB: Jerusalem Film Company Inazidi Kupasua Anga, Mzee wa Swaga ya Someka Zambia
"Jerusalem Film Company inazidi kupasua anga....baada ya kumshirikisha msanii mkubwa sana Zambia Cassie Kabwita kwenye sinema ya MZEE WA SWAGA tumepata coverage kwenye gazeti la The Post huko Zambia Cassie akielezea sinema ya Mzee Wa Swaga...Malengo ya Jerusalem ni kujitangaza nje ya nchi tumeanza na Zambia".
"Shukrani kwa Cassie Kabwita na sasa tunajipanga kutusua Zimbabwe!!! Sinema yetu ijayo tutaifanyia Zambia Cassie akiwa mwenyeji wetu na pia tutawaleta wasanii wawili maarufu sana...