JK azindua kiwanda cha kupasua kokoto B’moyo
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kiwanda cha kupasua kokoto za ukubwa mbalimbali kwa wastani wa meta za ujazo 2,000 kwa siku katika kijiji cha Pongwe, Msungura wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s72-c/d33.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KIWANDA CHA SARUJI CHA DANGOTE MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-8rejwR8k0po/VhqEdWpI9gI/AAAAAAABiYQ/N9i1M5evYIc/s640/d33.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4snKqieOKWw/VhqEg43dpbI/AAAAAAABiYg/MhXTRSV9FjY/s640/d37.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yle9ZS2bWK0/VhqEhcUADFI/AAAAAAABiYk/ICvvfEssU2A/s640/d38.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Jun
Dkt Bilal azindua mtambo wa maji taka wa kiwanda cha Serengeti cha Mwanza
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akisalimia wananchi wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa Maji taka wa Kiwanda cha Serengeti cha mjini Mwanza.(Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akifungua kipazia kuzindua Mtambo wa Maji taka wa Kiwanda cha Serengeti cha Mjijini mwanza kushoto Mwenyekiti wa Bodi ya kiwanda cha Serengeti.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA ULINZI AZINDUA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIFAA VYA UJENZI CHA UTURUKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-d-1-E8YrF6c/U43WSLbVgXI/AAAAAAAFnYY/4ReeNUAbjW0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1tjrqbHh3g4/U43Whfc8tvI/AAAAAAAFnYg/EephneFTKaI/s1600/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Apr
JK azindua kitengo cha moyo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fzrYV00Plwk/U6XJ4lfFUvI/AAAAAAAFsJk/KmPVm_tuAkg/s72-c/unnamed+(9).jpg)
DKT BILAL AZINDUA MTAMBO WA MAJI TAKA WA KIWANDA CHA SERENGETI CHA MWANZA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-fzrYV00Plwk/U6XJ4lfFUvI/AAAAAAAFsJk/KmPVm_tuAkg/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XQ-BXI7d984/U6XKl2GDGPI/AAAAAAAFsJ4/c9g7vXXReyo/s1600/unnamed+(12).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AF6_A56RZAc/U6XKl2TVNmI/AAAAAAAFsJ8/h9s9Zmp0Z64/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
GPLRAIS AZINDUA KITENGO CHA MOYO MUHIMBILI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qfXGYOy6H_I/Xrvk6tcD2AI/AAAAAAALqD4/FSAPsbE1I5Mc5_o2Zlb8FoE2bRVtlPPVgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0170.jpg)
Jerry Muro azindua kiwanda cha kutengeneza Barakoa
![](https://1.bp.blogspot.com/-qfXGYOy6H_I/Xrvk6tcD2AI/AAAAAAALqD4/FSAPsbE1I5Mc5_o2Zlb8FoE2bRVtlPPVgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0170.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200513-WA0171.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200513-WA0168.jpg)
************************************
Na Woinde Shizza , Arusha .
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro leo amezindua kiwanda kidogo kitakachokuwa kikizalisha Barakoa kwa ajili ya watumishi wa wilaya hiyo katika sekta ya afya.
Akizindua kiwanda hicho kidogo cha uzalishaji wa barakoa katika wilaya hiyo kuwa hicho litasaidia kutengeneza barakoa kwaajili ya wafanyakazi wote was halmashauri hiyo. Alisema kiwanda hicho kitakuwa ni mali ya Serikali na kipo ndani ya hospitali ya Halmashauri ya Meru...
9 years ago
StarTV11 Nov
Mwinyi azindua kiwanda cha  zana za kilimo, ujenzi
Rais mstaafu wa awamu ya Pili Ally Hassan Mwinyi amezindua kiwanda cha kuuza dhana bora za kilimo na ujenzi zitakazokuwa zinauzwa hapa nchini kwenye Kiwanda cha AVIC-SHANTUI Tanzania Limited kitakachomilikiwa na ndugu na rafiki wa muda mrefu wa Tanzania kutoka China.
Matarajio ya baadaye ya Kiwanda hicho ni kuzalisha bidhaa hapa hapa nchini kwa kutumia chuma kutengeneza dhana mbalimbali za Kilimo pamoja na vifaa vya ujenzi hali itakayochangia kukuza uchumi wa Taifa.
Rais Mwinyi amewataka...
11 years ago
Michuzi27 Apr
JK AZINDUA KITUO CHA MOYO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI LEO