JK azindua kitengo cha moyo
>Rais Jakaya Kikwete jana alizindua kitengo cha Tiba ya Moyo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)Â na kuutaka uongozi kuhakikisha kinakuwa taasisi inayojitegemea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAIS AZINDUA KITENGO CHA MOYO MUHIMBILI
9 years ago
Habarileo21 Oct
JK azindua kiwanda cha kupasua kokoto B’moyo
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kiwanda cha kupasua kokoto za ukubwa mbalimbali kwa wastani wa meta za ujazo 2,000 kwa siku katika kijiji cha Pongwe, Msungura wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
11 years ago
Michuzi27 Apr
JK AZINDUA KITUO CHA MOYO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI LEO
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Rais Kikwete azindua rasmi kituo cha magonjwa ya Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akiongea na mmoja wa wagonjwa watoto waliofanyiwa upasuaji kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kukifungua rasmi jana April 27, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa chama tawala cha China cha National People’s Congress Mhe. Chen Changzhi (kushoto) wakioneshwa moja ya vifaa vya kisasa vya kuchunguzia maradhi kwenye kituo kipya na cha kisasa cha Moyo katika hospitali ya Taifa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
10 years ago
Michuzi07 Jun
RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani
Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s72-c/1.jpg)
Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hpxlqy25LdY/VNSvU-6xkFI/AAAAAAAHCMs/FNx5DRKoQzk/s1600/2.jpg)
10 years ago
MichuziKITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
AU itaunda kitengo cha magonjwa