Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AU itaunda kitengo cha magonjwa

Mkuu wa Umoja wa Afrika asema wameamua kuunda kitengo cha kudhibiti magonjwa kama Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani

MABALOZI wa Usalama Barabarani nchini Tanzania (Road Safety Ambasadors-RSA) wamekabidhi misaada kwenye Ofisi ya Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini (Traffic Control Center-TCC). 
 Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha

Mtaalam wa Kutoa Damu wa Kitengo cha Damu Salama, Kanda ya Mashariki, Daudi Mkawa akimtoa damu Mfanyakazi wa Airtel Tanzania, Amitin Mbamba wakati wa zoezi la kuchangia damu lililofanywa na wafanyakazi wa vitengo mbalimbali vya Airtel, jijini Dar es Salaam jana. Kitengo cha Damu Salama kina upungufu mkubwa wa damu ambapo kiasi cha ujazo wa unit 350,000 zinahitajika kwa ajili ya dharura za kitabibu kila mwaka.Wafanyakazi wa Airtel Tanzania (kutoka kushoto), Adam Suleiman na Frank Munale...

 

10 years ago

Michuzi

KITENGO SHIRIKISHI CHA AFYA ZANZIBAR CHA ANDAA MJADALA JUU YA UZAZI WA MPANGO KATIKA UISLAM

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Dkt Issa Haji Zidi akizungumza na vijana katika mjadala kuhusu uzazi wa mpango katika uislamu ulioandaliwa na Kitengo cha Shirikishi cha Afya ya mama na mtoto kwenye ukubi wa Chuo cha Mafunzo Kilimani Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Mkufunzi kutoka Chuo cha Sayansi ya Afya ya Mbweni Asha Ali Khamis akionyesha moja ya dawa za kisasa za uzazi wa mpango katika mjadala huo. Mmoja wa washiriki wa mjadala kuhusu uzazi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

JK azindua kitengo cha moyo

>Rais Jakaya Kikwete jana alizindua kitengo cha Tiba ya Moyo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)  na kuutaka uongozi kuhakikisha kinakuwa taasisi inayojitegemea.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama kuanzisha kitengo cha habari

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amesema kuna haja ya kuanzisha kitengo cha habari ili kuwasaidia waandishi kupata taarifa sahihi. Alibainisha hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Agakhan kuzindua kitengo cha saratani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kitengo maalumu cha saratani katika Hospitali ya Agakhan.

 

10 years ago

Habarileo

Bosi kitengo cha kuzuia ujambazi auawa

MKUU wa Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Ujambazi Mkoa wa Morogoro, Elibariki Pallangyo (53), amepigwa risasi na kufa papo hapo nyumbani kwake eneo la Yombo jiji Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

RAIS AZINDUA KITENGO CHA MOYO MUHIMBILI

Mwakilishi wa Rais wa China, Hon. Chen Changzhi akipeana mkono na mmoja wa madaktari wakuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi huo.     Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na madaktari kabla ya uzinduzi.…

 

11 years ago

Habarileo

CDA yatakiwa kuanzisha kitengo cha walemavu

Dk Rehema NchimbiMAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imetakiwa kuona umuhimu wa kuanzisha kitengo kitakachoshughulikia watu wenye ulemavu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani