Mahakama kuanzisha kitengo cha habari
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amesema kuna haja ya kuanzisha kitengo cha habari ili kuwasaidia waandishi kupata taarifa sahihi. Alibainisha hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Mahakama Kuu kuanzisha kitengo cha utatuzi
11 years ago
Habarileo06 Jan
CDA yatakiwa kuanzisha kitengo cha walemavu
MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imetakiwa kuona umuhimu wa kuanzisha kitengo kitakachoshughulikia watu wenye ulemavu.
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-12ezfqOVXOM/U5TXEZS_g7I/AAAAAAAAAqg/Cf-xnMDRNXU/s72-c/Tobiko-pic.jpg)
KENYA KUANZISHA KITENGO MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-12ezfqOVXOM/U5TXEZS_g7I/AAAAAAAAAqg/Cf-xnMDRNXU/s1600/Tobiko-pic.jpg)
"Kwa mtazamo wa kuongezeka kwa uhalifu wa mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Umma (ODPP) imeanzisha kitengo maalumu kusimamia mashtaka ya wahalifu wa mtandao," Tobiko...
9 years ago
StarTV05 Jan
 Mahakama kuu kitengo cha ardhi kutoa maamuzi Jan. 5 Pingamizi la Bomoabomoa
Mahakama Kuu Tanzania Kitengo cha Ardhi inatarajia kutoa hukumu ya kuiruhusu Serikali kuendesha shughuli ya bomoa bomoa kwenye makazi ya mabondeni au kuizuia kuendesha shughuli hiyo Januria 5, mwaka huu.
Kesi hiyo ya kupinga kubomolewa kwa wakazi hao bila kupatiwa makazi mengine salama imefunguliwa kwa hati ya dharura na Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulya chini ya Wakili wake, Abubakar Salim huku Serikali ikiendelea na operesheni ya kuweka alama za X kwenye nyumba zaidi ya 3000.
Katika...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/RM1xNvXZePg/default.jpg)
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi
Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.
Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.
Cloudsfm.com
11 years ago
Michuzi01 Aug
Mkurugenzi wa Idara ya Habari atembelea Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Nje
9 years ago
Mwananchi06 Oct
NEC kuanzisha kitengo maalum kuhakiki taarifa za wapigakura
10 years ago
Michuzi07 Jun
RSA wakisaidia kitengo cha mawasiliano cha usalama barabarani
Vifaa hivyo ambavyo ni vitendea kazi katika kituo cha taarifa cha Kitengo cha Mawasiliano cha Kikosi cha Usalama Barabarani cha Jeshi la Polisi nchini, vimekabidhiwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa RSA, John Seka ikiwa ni michango ya mabalozi...