Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama Kuu kuanzisha kitengo cha utatuzi

Idala ya Mahakama inatarajia kuanzisha Kitengo cha Mahakama Kuu Dar es Salaam kitakachoshughulikia masuala ya utatuzi wa mashauri ya kesi za madai kwa njia ya suluhu ili kupunguza mlundikano wa kesi na kuchelewa kumalizika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama kuanzisha kitengo cha habari

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, amesema kuna haja ya kuanzisha kitengo cha habari ili kuwasaidia waandishi kupata taarifa sahihi. Alibainisha hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati wa...

 

9 years ago

StarTV

 Mahakama kuu kitengo cha ardhi kutoa maamuzi Jan. 5 Pingamizi la Bomoabomoa

 

Mahakama Kuu Tanzania Kitengo cha Ardhi inatarajia kutoa hukumu ya kuiruhusu Serikali kuendesha shughuli ya bomoa bomoa kwenye makazi ya mabondeni au kuizuia kuendesha shughuli hiyo Januria 5, mwaka huu.

Kesi hiyo ya kupinga kubomolewa kwa wakazi hao bila kupatiwa makazi mengine salama imefunguliwa kwa hati ya dharura na Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulya chini ya Wakili wake, Abubakar Salim huku  Serikali ikiendelea na operesheni ya kuweka alama za X kwenye nyumba zaidi ya 3000.

Katika...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia Bomoabomoa ya Nyumba za Wananchi Bonde la Mto Msimbazi

Mahakama kuu kitengo cha ardhi imezuia bomoabomoa ya Nyumba za wananchi bonde la mto Msimbazi hadi kesi ya msingi ikamilike Jan,11 mwaka huu.

vunja

Hukumu hiyo inafuatia shauri lililofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni (CUF) Maulid Mtulia, kufungua kesi katika Mahakama kuu ya Ardhi kupinga ubomoaji wa nyumba uliokuwa ukiendelea bila kutoa njia mbadala za makazi ya wale wanaobomolewa.

Cloudsfm.com

 

11 years ago

Habarileo

CDA yatakiwa kuanzisha kitengo cha walemavu

Dk Rehema NchimbiMAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imetakiwa kuona umuhimu wa kuanzisha kitengo kitakachoshughulikia watu wenye ulemavu.

 

11 years ago

Ykileo

KENYA KUANZISHA KITENGO MAALUM CHA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Bwana. Keriako Tobiko Mkurugenzi wa Mashtaka ya umma ya nchini Kenya Bwana. Keriako Tobiko ametangaza kuanzishwa kwa kitengo maalumu kitakacho pambana na  uhalifu mtandao katika ofisi yake. Amedai hatua hii imefikiwa kutokana na kuongezeka kwa idadi ya uhalifu unaofanywa na wahalifu wenye uelewa wa teknolojia.


"Kwa mtazamo wa kuongezeka kwa uhalifu wa mtandao, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Umma (ODPP) imeanzisha kitengo maalumu kusimamia mashtaka ya wahalifu wa mtandao," Tobiko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2

WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....

 

10 years ago

Vijimambo

ZANZIBAR | CHINA YAISAIDIA WIZARA YA AFYA VIFAA KWA AJILI YA KITENGO CHA MATIBABU YA MACHO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Saleh Mohamed Jidawi akitoa maelezo wakati wa Hafla ya kukabidhi msaada wa vifaa vya uchunguzi na upasuaji wa macho kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China. Wa kwanza (kushoto) ni Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman na (wakatikati) ni Balozi mdogo wa China aliepo Zanzibar Xie Yuanliang. Balozi Mdogo wa China Xie Yuanliang akimkabidhi Waziri wa Afya Rashid Seif Suleima msaada wa vifaa vya matibabu ya macho uliotolewa na Serikali ya nchi yake. Hafla hiyo...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC kuanzisha kitengo maalum kuhakiki taarifa za wapigakura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inatarajia kuzindua dawati la huduma kwa wateja ambapo wananchi watatumia kuthibitisha kumbukumbu zao baada ya zoezi la uhakiki wa taarifa kutofanyika kwa watu wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani