Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA AZIDI KUPASUA ANGA

lowassaNA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameingia visiwani Zanzibar na kupokewa kwa maandamano makubwa ya wana CCM.
Lowassa aliwasili Zanzibar juzi akitokea jijini Mwanza, ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini wa kumdhamini ili agombee urais kupitia CCM.
Lowassa na ujumble wake waliingia Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume saa 1:30 jioni, ambapo alipokewa kwa shangwe na wana CCM, vikundi vya ngoma, waendesha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MRISHO MPOTO AZIDI KUPASUA ANGA NA MJOMBA BAND

 Baada ya "kutoka" kwa wimbo na mashairi ya 'Mjomba' msanii malenga Mrisho Mpoto ameendelea kupata mafanikio siku hadi siku kwa kuweza sasa kumiliki bandi yake aliyoipa jina la Mjomba Band, akiajiri vijana zaidi ya 10 na kuendeleza libeneke kwa nguvu zake zote. Aghalabu Mpoto na bendi yake utakuta wamealikwa katika shughuli mbalimbali za kitaifa na kimataifa ili kutoa burudani. Hakika yeye ni mfano wa kuigwa. pichani  Mpoto akiwa na bendi yake jukwaani.  Mrisho Mpoto akighani mashairi...

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS 2015: DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWA

DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWAon August 26, 2015
 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jioni ya AGOSTI 26,2015   Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu za Kibongo za Zidi Kupasua Anga!

Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu  Jestina George  mtanzania aneishi ughaibuni kushea nasi kile alichokutana nacho akiwa ndani ya ndege.

"I was very happy hivi karibuni wakati nasafiri ndani ya Emirates kukutana na hii .BongoMovie ..MkeMchafu humo ndani ninaemjua ni Johari Chagula pekee yake . but lengo lakuleta hapa ni kuwapongeza sana maana ni hatua nzuri and I...

 

11 years ago

Michuzi

idhaa ya kiswahili ya Umoja wa Mataifa yazidi kupasua anga

Na Mwandishi Maalum  Radio ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, inaendelea kujizoelea umaarufu kwa kupanua wigo wake wa ushirikiano na vituo mbalimbali vya utangazaji katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda, Tanzania na Marekani.   Hii ni kwa mujibu wa Taarifa ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, iliyowasilishwa mbele ya wajumbe wa Kamati ya Habari ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma, Bw Peter-Launsky Tieffenthel Kamati ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB: Jerusalem Film Company Inazidi Kupasua Anga, Mzee wa Swaga ya Someka Zambia

"Jerusalem Film Company inazidi kupasua anga....baada ya kumshirikisha msanii mkubwa sana Zambia Cassie Kabwita kwenye sinema ya MZEE WA SWAGA tumepata coverage kwenye gazeti la The Post huko Zambia Cassie akielezea sinema ya Mzee Wa Swaga...Malengo ya Jerusalem ni kujitangaza nje ya nchi tumeanza na Zambia".

"Shukrani kwa Cassie Kabwita na sasa tunajipanga kutusua Zimbabwe!!! Sinema yetu ijayo tutaifanyia Zambia Cassie akiwa mwenyeji wetu na pia tutawaleta wasanii wawili maarufu sana...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yazidi kupasua anga na muziki wa Live, njoo ushuhudie leo Thai Village

DSC_0616

Aneth Kushaba AK 47(katikati) akiimba na waimbaji wenzake wa bendi ya Skylight ambao ni Ashura Kitenge(kushoto) na kulia ni John Music kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower akiimba na kucheza moja ya Sebene la Kikongo pamoja Sony Masamba.

Sony Masamba ambaye ni mmoja wa waimbaji wa Skylight akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na waimbaji wenzake kulia ni Sam Mapenzi na kushoto ni Joniko Flower

Waimbaji wa Skylight Band...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbajo wa Chadema azidi kumng’ang’ania Dk Mathayo

Moshi. Aliyekuwa mgombea ubunge wa Same Magharibi (Chadema), Christopher Mbajo ameongeza mawakili kumuwakilisha katika kesi ya kupinga ushindi wa Dk David Mathayo wa CCM.

 

9 years ago

GPL

LOWASSA AZIDI KUWATEMBELEA WANANCHI DAR

Mgombea urais, Edward Lowassa (katikati) na mgombea mwenza Duni Haji (kulia kwa Lowassa) kupitia Chadema/Ukawa wakiwa katika soko la Tandale jijini Dar kuwatembelea wafanyabiashara. Lowassa akisalimiana na bibi muuza mbogamboga soko la Tandale. ...Akiongea na muuza chai.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani