LOWASSA AZIDI KUWATEMBELEA WANANCHI DAR
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Lowassa-1.jpg)
Mgombea urais, Edward Lowassa (katikati) na mgombea mwenza Duni Haji (kulia kwa Lowassa) kupitia Chadema/Ukawa wakiwa katika soko la Tandale jijini Dar kuwatembelea wafanyabiashara. Lowassa akisalimiana na bibi muuza mbogamboga soko la Tandale. ...Akiongea na muuza chai.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...
10 years ago
Mtanzania08 Jun
LOWASSA AZIDI KUPASUA ANGA
NA ELIAS MSUYA, ZANZIBAR
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameingia visiwani Zanzibar na kupokewa kwa maandamano makubwa ya wana CCM.
Lowassa aliwasili Zanzibar juzi akitokea jijini Mwanza, ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini wa kumdhamini ili agombee urais kupitia CCM.
Lowassa na ujumble wake waliingia Zanzibar kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume saa 1:30 jioni, ambapo alipokewa kwa shangwe na wana CCM, vikundi vya ngoma, waendesha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s72-c/MMGL0172.jpg)
LOWASSA AHUDHULIA MKUTANO WA BARAZA KUU LA CHAMA CHA WANANCHI CUF, JIJINI DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vwaulAw7CSc/Vcdd5-wJj3I/AAAAAAAHviI/hic-u4W7jMQ/s640/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kKf-PsMDlTY/VcdcDdYkU1I/AAAAAAAHvfA/w4xY93s99zw/s640/MMGL0373.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Lowassa azidi kuhamasika juu ya kutangaza nia ya kugombea urais
![](http://1.bp.blogspot.com/-FWhS5528qhI/VQ7Ejxct8KI/AAAAAAAAb_U/TOi94DX3bdI/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais.
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya...
9 years ago
MichuziDAVIS MOSHA AZIDI KUWAKUNA WANANCHI WA MOSHI KWA SERA
Ikiwa zimesalia Takribani siku ishirini na tisa kuweza kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (ccm) Jimbo la Moshi Mjini Ndugu Davis Elisa Mosha amezidi kumtesa Mpinzani wake kutoka Kambi Pinzani ya Ukawa anayesimama kwa Tiketi ya Chadema Ndugu. Jafary Michael. Hayo yamedhihirika leo katika Mkutano wa Hadhara wa Mh. Davis Mosha katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
MH. LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-COm2igkfMz0/VX62uJ9vUJI/AAAAAAAHfkA/7C1KuMz8DGQ/s72-c/MMGL0230.jpg)
MAPOKEZI YA MH. LOWASSA MJINI BUKOBA HAYANA MFANO, AZIDI KUDHAMINIWA KWA KISHINDO
![](http://3.bp.blogspot.com/-COm2igkfMz0/VX62uJ9vUJI/AAAAAAAHfkA/7C1KuMz8DGQ/s640/MMGL0230.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Kh5pQHLo3no/VX62wunscoI/AAAAAAAHfkI/TgGo3DguqsM/s640/MMGL0256.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9KIUd7uWodY/VX7EK7LuzDI/AAAAAAAHfmU/ohUNDstDNLM/s640/mmg.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q2BYbb85ZWw/VYw7KctJ3DI/AAAAAAAHkBc/MnGc3okkZ2o/s72-c/MMGL0065.jpg)
LOWASSA AZIDI KUJIPATIA WADHAMINI LUKUKI, WANACCM 42, 405 WAMDHAMINI MKOANI MANYARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-q2BYbb85ZWw/VYw7KctJ3DI/AAAAAAAHkBc/MnGc3okkZ2o/s640/MMGL0065.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BAjdDyhj9ZY/VYw7NdUaXTI/AAAAAAAHkBs/bzufce38VV4/s640/MMGL0089.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jhaCgPWmE9A/VYw7LHN2KRI/AAAAAAAHkBk/uLs29jrYi-8/s640/MMGL0127.jpg)