Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kura ya maoni, uchaguzi mkuu viko njia panda

Jaji LubuvaNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
KUTOKANA na kusuasua kwa uandikishaji wapigakura katika daftari la kudumu, baadhi ya wadau wamekuwa wakisema kuna uwezekano mkubwa Uchaguzi Mkuu ukasogezwa mbele kama ilivyofanyika kwa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva, amelieleza gazeti hili jana kuwa Uchaguzi Mkuu hautasogezwa mbele bali utafanyika kwa mujibu wa Katiba Oktoba, mwaka huu.
Alisema kufikia muda huo uandikishaji...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO WA KATIBA: Watanzania wako njia panda kura ya maoni

>Inashangaza sana kusema kuwa  mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unaosubiri Kura ya Maoni miezi mitatu ijayo, umeacha mvurugano na mgawanyiko kuliko hapo awali. Muda ndiyo utakaothibitisha ukweli huu na hii haimaanishi hata kidogo kuidharau Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni ndoto Kura ya Maoni, Uchaguzi Mkuu kufanyika pamoja

Kuyumba na hatimaye kupeperuka kwa Kura ya Maoni kwa Katiba Inayopendekezwa kulianza kama mzaha pale kila kiongozi alipotoa tamko lililokinzana na mwingine.

 

10 years ago

GPL

KURA YA MAONI, UCHAGUZI MKUU NI MAMBO YANAYOJADILIKA, YASITUFARAKANISHE

Rais Jakaya Kikwete. Eric Shigongo
Nianze kwa kumtukuza Mungu muumba mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, hakuna wa kumuabudu ila yeye tu.Nianze makala yangu kwa kusema kuwa bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji kura ya maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30, mwaka huu kama alivyowahi kutangaza Rais Jakaya Kikwete. Wakati Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo sita muhimu kuelekea Kura ya Maoni, Uchaguzi Mkuu

Hofu ya kukataliwa kwa Katiba Mpya kumeifanya Serikali ivunje makubaliano ya Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kwamba Kura ya Maoni isitishwe hadi baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mtendaji wa Iclusive Development Promoters& Consultants (IDPC) Kaganzi Rutachwamagyo (kulia) mwenyekiti SHIVYAWATA, Amoni Mpanju na  Mwenyekiti umoja wa watu wenye ulemavu, Zanzibar Ali Makame. Mtoa mada kaganzi akichokoza mada.…

 

10 years ago

GPL

CHIKAWE ATOA TAMKO KUHUSU KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,  akitoa tamko.  …akiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu tamko lake. …akiandika moja ya maswali aliloulizwa na mwanahabari (hayupo pichani).…

 

9 years ago

Michuzi

Majibu kwa dukukudu kuhusu kura ya maoni ya Uchaguzi Mkuu ya TWAWEZA


Majibu kwa Dukuduku Kuhusu Utafiti Wa Kura Ya Maoni Wa TWAWEZA by Evarist Chahali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani