Kusiluka Kamishna mpya wa Ardhi
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Moses Mpogole Kusiluka (42) kuwa Kamishna Ardhi nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Rais Kikwete amemteua Dkt. Moses Kusiluka kuwa Kamishna Ardhi nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Moses Mpogole Kusiluka (42) kuwa Kamishna Ardhi nchini.
Uteuzi huo ulianza Jumanne ya Desemba 23, mwaka huu, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Kusiluka alikuwa Mkuu wa Idara ya Real Estate Finance and Investment katika Chuo Kikuu cha Ardhi, Dar Es Salaam, ambako amekuwa mhadhiri kwa miaka minane iliyopita, tokea 2006.
Dkt. Kusiluka ana Shahada ya Kwanza ya BSC (Land Management and Valuation) kutoka Chuo...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
JK amteua Dk Kusikuka kuwa Kamishna wa Ardhi
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Vijiji kumburuza kortini Kamishna wa Ardhi
MGOGORO wa ardhi baina ya wakulima na wafugaji unaoitesa Wilaya ya Kilosa kwa muda mrefu unaingia katika hatua nyingine baada ya Kijiji cha Mfulu, Mambegwa na Mbigili kumburuza mahakamani Kamishna...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s72-c/unnamed+(10).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUKABIDHIWA MADARAKA YA UONGOZI KWA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f3Cpy2Teci2PsMqfmmwWv1HplrfKJguHTWxHxLYte1EPMFu-T-9AHsrHB6splLKF7nfU*UtqU6dOkxkV2yjQsiJdHGFr7apj/unnamed.jpg?width=650)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015
11 years ago
Habarileo24 Apr
Wajumbe wataka sura ya ardhi Katiba mpya
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametaka kuwepo kwa sura maalumu katika Katiba mpya, itakayozungumzia suala la ardhi pekee, ikiwa ni hatua ya kupunguza migogoro baina ya wakulima na wafugaji kwa kuweka mgawanyo sahihi wa rasilimali hiyo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rXIhNLd6uuM/Vos4k_I-x0I/AAAAAAAIQXM/5zuBKs6Modo/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU MPYA ARDHI AKARIBISHWA RASMI OFISINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rXIhNLd6uuM/Vos4k_I-x0I/AAAAAAAIQXM/5zuBKs6Modo/s640/1.jpg)