Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwenye Mkasi leo Jumatatu …. Tutakuwa na ‪#‎RoseNdauka‬!

12274604_920028724743719_3267603356603197535_n

Rose Ndauka katika ubora wake wakati wa utayarishaji wa kipindi cha Mkasi kinachotarajiwa kurushwa Jumatatu hii ya Novemba 23.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Msanii wa Filamu za kibongo, Rose Ndauka, anatarajia kufunguka mambo mbalimbali katika kipindi cha luninga cha kila wiki cha Mkasi. Kwa mujibu wa mtandao wa kijamii wa kipindi hicho cha Mkasi umetupia picha cha star huyo wa Bongo na kueleza kuwa naye siku hiyo ya Jumatatu.

Kipindi hicho bora kabisa ndani ya Afrika Mashariki na kujizolea...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Shilole kuzindua msimu mpya MKASI TV Jumatatu hii

Msanii Shilole Kiuno alimaarufu kama Shishi Baby amepata bahati ya kuzindua msimu mpya wa kipindi cha Mkasi TV ambacho kinarushwa kila siku ya Jumatatu kuanzia saa tatu na nusu usiku kupitia Televisheni namba moja kwa vijana EATV.

Mkasi TV inarejea tena kwa kasi kubwa baada ya kufanyiwa mabadiliko na kuboreshwa zaidi ili kuleta hamasa na kuzidi kuwahamasisha watazamaji kuendelea kuwa katika familia hiyo inayokuwa kila siku, muonekano mpya wa mkasi TV hautafanana na ule wa awali.

Shilole...

 

9 years ago

MillardAyo

Sentensi za Diva kuhusu Prezzo na Diamond Platnumz kwenye interview ya Mkasi Dec 21,2015

Mtu wangu kama hukuwa karibu na TV yako kuangalia show ya Mkasi on EATV December 21, 2015 usiku hizi ni sentensi za Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse kuhusu uhusiano na rapper kutokea Kenya Prezzo pamoja na ugomvi uliotokea Agosti 24, 2015 kwenye kipindi cha XXL kati yake na Diamond Platnumz. ‘Kwanza Prezo tulikuwa […]

The post Sentensi za Diva kuhusu Prezzo na Diamond Platnumz kwenye interview ya Mkasi Dec 21,2015 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani