Lankii kutoka udalali hadi ujasiriamali wa kimataifa
UJASIRIAMALI una maana pana, miongoni mwa hizo ni kuwa na hamasa kubwa ya kuleta mabadiliko chanya katika uchumi. Pia katika hali nyingine mjasiriamali anaweza kuwa mtu yeyote anayejishughulisha katika sekta...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s72-c/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s640/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Rose Muhando: Kutoka ombaomba hadi nyota wa muziki wa Injili kimataifa
>Maisha uliyoishi zamani hayawezi kukukwamisha kufikia malengo uliyojiwekea. Hakuna mtu ambaye alifikiri leo hii Rose Muhando angeweza kuwa mwanamuziki mkubwa wa nyimbo za Injili anayelipwa fedha nyingi kutokana na muziki wake, hasa kwa wale waliomjua tangu utoto wake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U7YWT3FNhpzp8PRhMEOugL*Qulb9OjN3abq5NRQfS6vN34mJz82xs8yeZdvskQfgfChybp3leirWH9AMz*a9OqN8gkwf*cy3/PRESSUJASIRIAMALIMWANZA1.jpg?width=650)
TAMASHA LA UJASIRIAMALI KURINDIMA MWANZA IJUMAA HADI JUMAPILI
Mratibu wa Tamasha la Ujasiriamali, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea jambo na waandishi wa habari leo ndani ya ukumbi wa The Atriums Hotel iliyoko Sinza, Afrika Sana jijini Dar es Salaam. Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha (wa pili kushoto) akiongea na…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Lt9ToQ5SxWADjOmVE3iNGce8UtyPv75g*wKMvYZ6hFKTT1PKHVRdjpY-af7*I1okM44ZKpPZKjX7Hy5A5go59PU/1.jpg?width=650)
SEMINA YA KIMATAIFA YA UJASIRIAMALI YAENDELEA DAR LIVE
Kisamvu kilichotengenezwa kitaalam na wajasiriamali hao ambacho kina uwezo wa kukaa siku tano bila kuharibika.
Wataalam wa mafunzo wakionesha mashine ya kutotoa vifaranga vya kuku kwa wajasiriamali (hawapo pichani).…
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6aWqsbW3A8U/default.jpg)
Kutoka Maktaba: Magufuli - (2005) tutasafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami
WANANCHI wataweza kusafiri kutoka Mtwara hadi Bukoba kwenye barabara ya lami,hayo yalisemwa Bungeni Mjini Dodoma wakati Waziri wa Ujenzi John Magufuli alipokua akijibu swali la Martha Mlata (Viti Maalum-CCM), swali lililohoji juu ya ahadi ya Serikali katika kipindi cha awamu ya nne na ahadi hiyo iliyosema wananchi wataweza kusafiri kwa taxi toka Mtwara hadi Bukoba.
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
Waziri Magufuli alisema kuwa nia ya msemo huo ni kuonesha kwamba wananchi wataweza kusafiri toka Mtwara hadi Bukoba kwa lami...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-itEsQb-VSro/Vi_NJ3aoqUI/AAAAAAAIDFU/0TSKLqhwhuk/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
Taswira kutoka kutoka Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere
![](http://1.bp.blogspot.com/-itEsQb-VSro/Vi_NJ3aoqUI/AAAAAAAIDFU/0TSKLqhwhuk/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3uHPYSkkzHI/Vi_NJ204JoI/AAAAAAAIDFI/GqhpA_Si37Y/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
11 years ago
GPLKUTOKA JIJINI MWANZA KATIKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LEO
Wananchi wakijipatia huduma kutoka kwa wadhamini wa Tamasha la Ujasiriamali linalofikia kilele chake leo hii jijini Mwanza. Wananchi wakijipatia CD za Eric Shigongo na James Mwang'amba zenye mafunzo ya ujasiriamali. (PICHA: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA /…
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...
11 years ago
GPLTASWIRA KUTOKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI JIJINI MWANZA LINALOENDELEA HIVI SASA
Waimbaji wa kwaya ya Gosheni wakitumbuiza katika ufunguzi wa Tamasha kubwa la Ujasiriamali linalorindima kwa siku tatu ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuanzia leo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania