Lazima tuondokane na siasa nyepesi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa Serikali inatafakari kufuta ada katika shule zake za sekondari kama namna ya kuboresha sera ya elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa la kwanza, anamaliza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies30 Jan
Nyepesi Nyepesi: Naota Nafanya Mapenzi Kila Siku-Madaha
Hii Sasa Kalii: Mwanamziki na mwigizaji wa filamu hapa Bongo wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya mwaka baada ya kueleza sababu za kutodumu na wanaume kimapenzi kwamba ni kutokana na kuota anafanya mapenzi kila siku.
Awali rafiki wa Madaha aliyeomba jina lake lihifadhiwehifadhiwe alikiambia chanzo cha habari hii kuwa, mara kwa mara msanii huyo amekuwa akilalamika kuwa kila siku anaota akifanya mapenzi hali inayomfanya asiwe na hamu ya kuwa na mpenzi.
“Mwenyewe...
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Nyepesi Nyepesi: Jack Dustan Adaiwa Ana Mimba ya Mwarabu!
Mwigizaji wa filamu ambaye ni zao la Shindano la Maisha Plus, Jack Dustan anadaiwa ni mjamzito huku mlengwa wa mzigo huo akidaiwa kuwa Mwarabu aliyewahi kuripotiwa kuwa anatoka naye.
Jack alitua hivi karibuni akitokea Dubai alikokuwa akiponda maisha na mara kadhaa amewahi kutundika picha mtandaoni akiwa kimahaba na mwanaume huyo wa Kiarabu.
Akizungumzia madai hayo, Jack alisema: “Mimi ni mwanamke bwana, kuzaa ni wajibu kwa hiyo sioni kama ni skendo mimi kuwa na mimba.”
Alipoulizwa kama ni...
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
Nyepesi Nyepesi: JB, Zembwela na Mzee Majuto Wapo ‘Chimbo’
Kumekuwa na tetesi kuwa waigizaji, JB, Mzee Majuto na Zembwela hivi sasa wapo kazini kutengeneza filamu lakini hadi sasa hawajaamua kuweka wazi swala hili.
Kwamujibu wa watu wa karibu na wasanii hao, inasemekana bado hawajaanza kushuti ila wapo kwenye hatua za awali za maandalizi ya kuanza kufanya kazi , wadau wengi wameonyesha shauku kubwa na kutegemea kazi bora zaidi kutoka kwa wakali hawa kwani itakuwa ni kali ya mwaka.
Kama wewe ni mfuatiliaje wa mitandao ya kijamii utakubali kuwa...
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Nyepesi Nyepesi:Pete Ya Shilole Yaibua Mazito!!
Mara tu baada ya mwanadada mwaigizaji wa filamu na mtafutaji kunako tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, kuvalishwa pete ya uchumba na mchumba wake, Naftari Mlawa ‘Nuhu Mziwanda’ tayari watu wameanza kuisengenya.
Shilole alivalishwa pete hiyo katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika ‘apartment’ za Baraka Plaza, Mikocheni jijini Dar ambapo mara baada ya mwanadada huyo kukata keki na kuwalisha watu mbalimbali waliohudhuria, ndipo Nuhu alipomsapraizi...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
CCM NA BUNGE LA KATIBA: Hoja nyepesi za kukariri
NI ukweli usio na shaka kwamba wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye Bunge la Katiba ni wengi kuliko wajumbe kutoka makundi mengine. Kwa maana hiyo, CCM imelihodhi Bunge na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Vanessa: Haikuwa kazi nyepesi kuwa kama Siwema
MSANII anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya filamu nchini, Mary Joseph ‘Vanessa’, amesema haikuwa kazi nyepesi kuuvaa uhusika wa Siwema aliyeimbwa kwenye wimbo wa ‘Siwema’ wa mwimbaji wa nyimbo za...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-e3GdQMf8WAU/VNPZXBe_WeI/AAAAAAAHCJs/JfsPuQukKHY/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: JE UNAHITAJI PASIPOTI, HII NI NAMNA NYEPESI YA KUPATA PASIPOTI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-e3GdQMf8WAU/VNPZXBe_WeI/AAAAAAAHCJs/JfsPuQukKHY/s1600/download.jpg)
Lakini kabla ya taarifa mtu huendelea kufikiria jambo hilo kwa ugumu. Katika kipindi kama hiki kuwa na kitu kama pasipoti si jambo la anasa au ufahari tena isipokuwa ni jambo ambalo limeishaingia katika matumizi ya kawaida ya kila siku ya walio wengi. Hii ni...